Kamati ya Bunge ya Ardhi na Maendeleo ya Makazi yafanya ziara ya kikazi Jijini Dubai
![](http://1.bp.blogspot.com/-E__U5BbZ4ds/VN35HrgjTHI/AAAAAAADYDw/O8hns7XBiec/s72-c/20150212_104312.jpg)
Mhe. James Lembeli katika picha ya pamoja na Mhe. Omar Mjenga Balozi Mdogo wa Tanzania, Dubai
Kamati ikiongozwa na Mwenyekiti wake Mhe. James Lembeli, imefanikiwa kuitembelea Manispaa ya Dubai na Mji wa Michezo wa Dubai (Dubai Sports City).
Aidha, Mhe. William Lukuvi, Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi aliongozana na Kamati. Ziara hii fupi imekuwa ya mafanikio makubwa, kwani kamati pamoja wajumbe wengine wamekubaliana masuala muhimu ambayo wameona yanafaa kuishairi Serikali...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-O_a0dRHjgAI/VE-_wohAvVI/AAAAAAAGt4I/P9Iew6zUSP8/s72-c/MMGM1036.jpg)
Kamati ya Bunge ya Huduma za Jamii yafanya ziara katika Miradi mitatu ya NSSF jijini Dar
![](http://4.bp.blogspot.com/-O_a0dRHjgAI/VE-_wohAvVI/AAAAAAAGt4I/P9Iew6zUSP8/s1600/MMGM1036.jpg)
10 years ago
MichuziKAMATI YA BUNGE YA MIUNDOMBINU YAFANYA ZIARA YA KUKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA BARABARA YA BAGAMOYO — MAKOFIA — MSATA (KM 64) PAMOJA NA MIZANI YA KISASA ILIYOPO ENEO LA VIGWAZA
Barabara hii inayojengwa na kampuni ya Estim Construction ltd, na kusimamiwa na mhandisi mshauri kampuni ya JBG Gauff...
10 years ago
Vijimambo18 Feb
Ziara ya waziri wa Ardhi, Nyumba, Maendeleo ya makazi nchini Singapore
![NHC1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/02/NHC1.png)
10 years ago
Dewji Blog17 Feb
Ziara ya Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi nchini Singapore
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mh. William Vangimembe Lukuvu akiwa na ujumbe watendaji wa NHC na Wizara yake amezuru Singapore na kutembelea Bodi ya Maendeleo ya Nyumba na Wizara ya Mambo ya Nje kuvutia uwekezaji Tanzania. Picha kamili na Muungano Saguya – Singapore.
Ujumbe wa Tanzania chini ya Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi ukionyesha namna Serikali ya Singapore inavyoratibu upatikanaji wa nyumba kwa wananchi wake ulipotembelea Bodi ya Maendeleo ya Nyumba ya...
11 years ago
MichuziWAZIRI WA ARDHI NA MAENDELEO YA MAKAZI AFANYA ZIARA WILAYANI MVOMERO
10 years ago
MichuziWAZIRI WA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI AFANYA ZIARA MKOANI MBEYA
10 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/02/luk1.png?width=640)
ZIARA YA WAZIRI WA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI NCHINI SINGAPORE
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-fBjXsjODywM/VQrHrnN8gQI/AAAAAAADRKE/4pIG2gRMBgQ/s72-c/unnamed.png)
WAZIRI WA ARDHI ,NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI WILLIAM LUKUVI AANZA ZIARA MKOANI ARUSHA
![](http://3.bp.blogspot.com/-fBjXsjODywM/VQrHrnN8gQI/AAAAAAADRKE/4pIG2gRMBgQ/s1600/unnamed.png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-FknvlfwMauc/VQrHrUjbg5I/AAAAAAADRKA/mPJoyIY4-5w/s1600/U.png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-zfcAPa9OGtE/VQrHpK9RRDI/AAAAAAADRJo/8ouPyOvzWLI/s1600/P9.png)
10 years ago
MichuziKAMATI YA SIASA YA CCM MKOA WA DAR YAFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO