Wasomali watoroka vita Yemen
Wasomali waliotorokea Yemen sasa wameanza kurudi nyumbani baada ya vita kuzidi nchini Yemen.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili06 Jul
Vita vikali vyazuka Yemen
Ripoti kutoka Yemen zinasema kuwa kumekuwa na vita vikali kati ya jeshi la taifa hilo na waasi wa ki-shia kazkazini mwa taifa
10 years ago
BBCSwahili07 May
Yemen:Saudia yapendekeza kusitisha Vita
Saudia inajiandaa kufanya mashauriano ya siku tano ya kuleta amani na kujiondoa kutoka Yemen kwa sababu ya kibinadamu.
10 years ago
BBCSwahili10 May
Waasi wakubali kusitisha vita Yemen
Wanajeshi waasi nchini Yemen wanaowasaidia waasi wa Houthi kudhiditi maeneo makubwa ya nchi hiyo wamekubali usitishwaji wa mapigano
10 years ago
BBCSwahili06 Apr
Vita vikali vyaendelea kusini mwa Yemen
Makabiliano makali kati ya waasi wa Houthi na wanajeshi walio watiifu kwa rais wa Yemen Abd Rabbu Mansour Hadi, yanaendelea Aden
10 years ago
BBCSwahili18 Jul
Yemen:Vita vikali vyaendelea mjini Aden
Ripoti kutoka Yemen zinaarifu kuwa mapambano makali yanaendelea katika mtaa mmoja wa mji wenye bandari ya Aden
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-L2TXaMzu9JQ/VTXN99s2LII/AAAAAAAHSLM/403s0RFXMZA/s72-c/unnamed%2B(86).jpg)
watanzania 18 warejea nyumbani kutoka Yemen ambako hakukaliki kutokana na vita
![](http://2.bp.blogspot.com/-L2TXaMzu9JQ/VTXN99s2LII/AAAAAAAHSLM/403s0RFXMZA/s1600/unnamed%2B(86).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-RGb5FCd7nAw/VTXN_xeMV0I/AAAAAAAHSLU/J001Af-SbGU/s1600/unnamed%2B(85).jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9677Xpk6OnV9FECKhapazr5PkFej447XqGmMvXB1KhcwHEBWIMvu-KIV1KUSoIjIIRX178AAeZNZ32LZfh5RUfCKMRNPyTTh/pakistan.jpg)
WAPAKISTANI WA UNGA WATOROKA NCHINI!
Stori: Makongoro Oging’ na Haruni Sanchawa
Wapakistani wawili, Abdul Ghan Peer Bux na Shahbaz Malk (pichani) waliokamatwa wakiwa na Watanzania wanaotuhumiwa kwa kukutwa na madawa ya kulevya wametoroka nchini.  Mtuhumiwa Abdul Ghan Peer Bux. Watuhumiwa hao walikamatwa Februari 21, 2011wakiwa na madawa ya kulevya yenye thamani ya shilingi bilioni 6.2, Mbezi Beach maeneo ya ...
11 years ago
BBCSwahili27 Jun
Wagonjwa wa Ebola watoroka hospitalini
Serikali ya Sierra Leone imeonya kuwa ni hatia kumpa hifadhi mtu yeyote aliyeambukizwa virusi vya Ebola na ambaye ametoroka hospitalini
11 years ago
BBCSwahili07 Aug
Wakristu watoroka Qaraqosh Iraq
Maelfu ya Wakristu wametoroka mji wa Qaraqosh Nineva baada ya wapiganaji wa Kiislamu kuuteka.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania