Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wasomali watoroka vita Yemen

Wasomali waliotorokea Yemen sasa wameanza kurudi nyumbani baada ya vita kuzidi nchini Yemen.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Vita vikali vyazuka Yemen

Ripoti kutoka Yemen zinasema kuwa kumekuwa na vita vikali kati ya jeshi la taifa hilo na waasi wa ki-shia kazkazini mwa taifa

 

10 years ago

BBCSwahili

Yemen:Saudia yapendekeza kusitisha Vita

Saudia inajiandaa kufanya mashauriano ya siku tano ya kuleta amani na kujiondoa kutoka Yemen kwa sababu ya kibinadamu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Waasi wakubali kusitisha vita Yemen

Wanajeshi waasi nchini Yemen wanaowasaidia waasi wa Houthi kudhiditi maeneo makubwa ya nchi hiyo wamekubali usitishwaji wa mapigano

 

10 years ago

BBCSwahili

Vita vikali vyaendelea kusini mwa Yemen

Makabiliano makali kati ya waasi wa Houthi na wanajeshi walio watiifu kwa rais wa Yemen Abd Rabbu Mansour Hadi, yanaendelea Aden

 

10 years ago

BBCSwahili

Yemen:Vita vikali vyaendelea mjini Aden

Ripoti kutoka Yemen zinaarifu kuwa mapambano makali yanaendelea katika mtaa mmoja wa mji wenye bandari ya Aden

 

10 years ago

Michuzi

watanzania 18 warejea nyumbani kutoka Yemen ambako hakukaliki kutokana na vita

Balozi wa Tanzania nchini Oman Mh. Ali Ahmed Saleh (aliyebeba mtoto) akiwa na baadhi ya kundi la Watanzania 18 waliookolewa kutoka Yemen ambako hakukaliki kutokana na vita. Hapa wananchi hao  wapo  katika uwanja wa ndege wa Muscat wakiwa njiani kurejeshwa nyumbani.Sehemu ya wananchi hao wakijiandaa kuondoka Muscat, Oman, kurejea nyumbani

 

11 years ago

GPL

WAPAKISTANI WA UNGA WATOROKA NCHINI!

Stori: Makongoro Oging’ na Haruni Sanchawa
Wapakistani wawili, Abdul Ghan Peer Bux na Shahbaz Malk (pichani) waliokamatwa  wakiwa  na  Watanzania  wanaotuhumiwa kwa kukutwa  na  madawa ya kulevya wametoroka nchini.  Mtuhumiwa Abdul Ghan Peer Bux. Watuhumiwa hao walikamatwa Februari 21, 2011wakiwa na madawa ya kulevya yenye thamani ya  shilingi  bilioni 6.2,  Mbezi Beach  maeneo ya ...

 

11 years ago

BBCSwahili

Wagonjwa wa Ebola watoroka hospitalini

Serikali ya Sierra Leone imeonya kuwa ni hatia kumpa hifadhi mtu yeyote aliyeambukizwa virusi vya Ebola na ambaye ametoroka hospitalini

 

11 years ago

BBCSwahili

Wakristu watoroka Qaraqosh Iraq

Maelfu ya Wakristu wametoroka mji wa Qaraqosh Nineva baada ya wapiganaji wa Kiislamu kuuteka.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani