Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yemen:Saudia yapendekeza kusitisha Vita

Saudia inajiandaa kufanya mashauriano ya siku tano ya kuleta amani na kujiondoa kutoka Yemen kwa sababu ya kibinadamu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Waasi wakubali kusitisha vita Yemen

Wanajeshi waasi nchini Yemen wanaowasaidia waasi wa Houthi kudhiditi maeneo makubwa ya nchi hiyo wamekubali usitishwaji wa mapigano

 

10 years ago

BBCSwahili

Saudia yawashambulia Wahouthi Yemen

Ndege za jeshi la Saudi Arabia zimeshambulia maeneo kadha nchini Yemen katika kampeni yake dhidi ya waasi wa Houthi

 

10 years ago

BBCSwahili

Jeshi la Saudia lashambulia waasi, Yemen

Saud Arabia imeanza operesheni zake za kijeshi nchini Yemen, ikiwa ni kujibu ombi la Rais wa nchi hiyo Abd Rabbuh Mansour Hadi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Saudia kutoa msaada unaohitajika Yemen

Saudi Arabia, imeahidi kutoa fedha ambazo Umoja wa Mataifa umesema zinahitajika nchini Yemen.

 

10 years ago

BBCSwahili

Saudia yawaondoa raia wake Yemen kusini

Saudi Arabia imedaiwa kuwahamisha raia wake na wanadiplomasia wa kigeni kutoka mji wa bandari ya Aden kusini mwa Yemen .

 

10 years ago

Mwananchi

Saudia ilivokosea kuzicheza karata zake Yemen

Kuna baadhi ya watu wachache inapotajwa nchi ya Yemen kwa haraka huwakumbuka baadhi ya watu wa nchi hiyo wanaopenda kutafuna kwa saa nyingi majani ya miraa, wenyewe wanayaita Qat.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mkataba wa muda wa kusitisha vita Gaza

Hamas na Israel zimekubali kuheshimu makubaliano ya mda ya kusitisha mapigano Gaza baada ya siku tisa za vita vikali.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mkataba wafikiwa kusitisha vita Ukraine

Serikali ya Ukraine na wapiganaji wa nchi hiyo wanaounga mkono Urusi wamekubaliana kusitisha mapigano Mashariki ya nchi hiyo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mda wa kusitisha vita waongezwa Ukraine

Rais wa Ukraine Petro Poroshenko ameongeza makubaliano ya kusitisha vita na wapiganajai wanaotaka kujitenga mashariki mwa Ukraine.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani