Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkataba wafikiwa kusitisha vita Ukraine

Serikali ya Ukraine na wapiganaji wa nchi hiyo wanaounga mkono Urusi wamekubaliana kusitisha mapigano Mashariki ya nchi hiyo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Mda wa kusitisha vita waongezwa Ukraine

Rais wa Ukraine Petro Poroshenko ameongeza makubaliano ya kusitisha vita na wapiganajai wanaotaka kujitenga mashariki mwa Ukraine.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mkataba wa muda wa kusitisha vita Gaza

Hamas na Israel zimekubali kuheshimu makubaliano ya mda ya kusitisha mapigano Gaza baada ya siku tisa za vita vikali.

 

10 years ago

BBCSwahili

Yemen:Saudia yapendekeza kusitisha Vita

Saudia inajiandaa kufanya mashauriano ya siku tano ya kuleta amani na kujiondoa kutoka Yemen kwa sababu ya kibinadamu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Waasi wakubali kusitisha vita Yemen

Wanajeshi waasi nchini Yemen wanaowasaidia waasi wa Houthi kudhiditi maeneo makubwa ya nchi hiyo wamekubali usitishwaji wa mapigano

 

11 years ago

BBCSwahili

Sudan Kusini itakubali kusitisha vita?

Mazungumzo ya kusitisha vita ambavyo vimekuwa vikitokota Sudan Kusini kwa karibu wiki tatu yameanza mjini Addis Ababa Ethiopia.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wakubaliana kusitisha vita Sudan Kusini

Rais wa Sudan kusini Salva Kiir na kiongozi wa waasi nchini humo Riek Machar waingia katika mkataba wa kustisha vita.

 

11 years ago

BBCSwahili

Israel kusitisha vita kwa saa 24 zaidi

Serikali ya Israel imekubali kusitisha vita katika eneo la Gaza kwa sababu za kibinaadamu kufuatia ombi la umoja wa mataifa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Urusi yadai Ukraine inakiuka mkataba

Waziri wa mambo ya nje wa Urusi, Sergei Lavrov, ametuhumu maafisa wakuu wa Kiev kwa kuvunja mkataba uliofikiwa wiki jana mjini Geneva kusuluhisha mgogoro wa Ukraine.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ukraine:Waasi wadaiwa kukiuka mkataba

Serikali ya Ukraine inasema kuwa waasi wanaungwa mkono na Urusi wamekiuka pakubwa muafaka wa amani mara 20 zaidi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani