Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Urusi yadai Ukraine inakiuka mkataba

Waziri wa mambo ya nje wa Urusi, Sergei Lavrov, ametuhumu maafisa wakuu wa Kiev kwa kuvunja mkataba uliofikiwa wiki jana mjini Geneva kusuluhisha mgogoro wa Ukraine.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Ukraine na Urusi zafanya mazungumzo

Marais wa Urusi na Ukraine wamekuwa na mazungumzo ya kwanza ya moja kwa moja kuhusu mgogoro wa Ukraine,

 

11 years ago

BBCSwahili

EU yaonya Urusi isiingie Ukraine

EU imeonya Urusi isitume majeshi yake ndani ya Ukraine kwa kisingio cha kutoa misaada.

 

11 years ago

BBCSwahili

Urusi kuingilia walioshikiliwa Ukraine

Ujumbe wa Urusi umesema watafanya kila njia kuhakikisha waangalizi wa kijeshi wa Umoja wa Ulaya walioshikiliwa Ukraine wanaachiliwa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Urusi yawanasa raiya 25 wa Ukraine

Kitengo cha usalama wa ndani cha Urusi Kimewatia mbaroni raiya 25 kutoka Ukraine kwa uchochezi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Urusi:hatutaki vita na Ukraine

Urusi imesema haina mpango wa kuingia vitani na Ukraine,hata hivyo inaunga mkono mpango wa upigaji kura ya maoni mjini Crimea

 

11 years ago

BBCSwahili

G7 yailaani Urusi kuihusu Ukraine

Kundi la mataifa ya G7 laitaka Urusi kushughulikia wasiwasi wake kuihusu Ukraine kwa njia ya mazungumzo au kupitia mpatanishi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Urusi yapingwa dhidi ya Ukraine

Viongozi wa kundi la G7 wamefungua mkutano wao wa mwaka nchini Ujerumani kusini,wakipinga vitendo vya Urusi kwa nchi ya Ukraine.

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani yaonya Urusi kutoivamia Ukraine

Marekani imeionya serikali ya Moscow isithubutu kutumia nguvu za kijeshi dhidi ya Ukraine

 

10 years ago

BBCSwahili

Ukraine:Urusi inapanga msafara mwengine

Waziri wa msala ya kigeni wa Urusi seri Lavrov amesema kuwa taifa lake linapanga msafara mpya wa msaada .

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani