Urusi:hatutaki vita na Ukraine
Urusi imesema haina mpango wa kuingia vitani na Ukraine,hata hivyo inaunga mkono mpango wa upigaji kura ya maoni mjini Crimea
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili28 Aug
Urusi yaingilia kati vita ya Ukraine.
Balozi wa Marekani nchini Ukraine,Geoffrey Pyatt, amesema wanajeshi wa Urusi wanaingilia mapigano kusini mashariki mwa Ukraine.
11 years ago
BBCSwahili03 Mar
G7 yailaani Urusi kuihusu Ukraine
Kundi la mataifa ya G7 laitaka Urusi kushughulikia wasiwasi wake kuihusu Ukraine kwa njia ya mazungumzo au kupitia mpatanishi.
10 years ago
BBCSwahili08 Jun
Urusi yapingwa dhidi ya Ukraine
Viongozi wa kundi la G7 wamefungua mkutano wao wa mwaka nchini Ujerumani kusini,wakipinga vitendo vya Urusi kwa nchi ya Ukraine.
11 years ago
BBCSwahili27 Aug
Ukraine na Urusi zafanya mazungumzo
Marais wa Urusi na Ukraine wamekuwa na mazungumzo ya kwanza ya moja kwa moja kuhusu mgogoro wa Ukraine,
11 years ago
BBCSwahili04 Apr
Urusi yawanasa raiya 25 wa Ukraine
Kitengo cha usalama wa ndani cha Urusi Kimewatia mbaroni raiya 25 kutoka Ukraine kwa uchochezi.
11 years ago
BBCSwahili11 Aug
EU yaonya Urusi isiingie Ukraine
EU imeonya Urusi isitume majeshi yake ndani ya Ukraine kwa kisingio cha kutoa misaada.
11 years ago
BBCSwahili26 Apr
Urusi kuingilia walioshikiliwa Ukraine
Ujumbe wa Urusi umesema watafanya kila njia kuhakikisha waangalizi wa kijeshi wa Umoja wa Ulaya walioshikiliwa Ukraine wanaachiliwa.
11 years ago
BBCSwahili12 Aug
Urusi yapeleka msaada nchini Ukraine
Urusi inasema kuwa karibu malori 300 yaliyosheheni misaada ya kibinadamu yameondoka mjini Moscow kuelekea mashariki mwa Ukrain
11 years ago
BBCSwahili12 Apr
Wafuasi wa Urusi Ukraine wateka kituo
Ofisi ya polisi katika mji mmoja wa mashariki mwa Ukraine yavamiwa na wafuasi wa Urusi waliovaa sare ya jeshi
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania