Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ukraine:Waasi wadaiwa kukiuka mkataba

Serikali ya Ukraine inasema kuwa waasi wanaungwa mkono na Urusi wamekiuka pakubwa muafaka wa amani mara 20 zaidi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

SSRA wadaiwa kukiuka haki za wafanyakazi

MAMLAKA ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), imeshauriwa kusitisha mchakato ulioanza wa mapendekezo ya kuimarisha mifuko ya Hifadhi ya Jamii nchini.

 

10 years ago

Michuzi

MAKALA YA SHERIA: NAMNA YA KUMDAI FIDIA ALIYEVUNJA MKATABA AU KUKIUKA MAKUBALIANO YENU

Na  Bashir  Yakub
Kawaida unapokuwa umeingia katika mkataba au makubaliano katika jambo lolote lile kunakuwa na masharti ambayo unapaswa kuyatimiza au kutimiziwa. Na hapa nazungumzia mikataba yote uwe wa kuuza mbuzi au ule wa kujenga ghorofa mia, yote ni mikataba. Masharti hayo huwa ndio makubaliano yenyewe au twaweza kusema kuwa ndio mkataba wenyewe. Kila upande unawajibika  juu ya utekelezaji wa masharti hayo. Yeyote anayefikia hatua ya kukiuka masharti hayo  au hata kukiuka sharti moja tu,...

 

10 years ago

BBCSwahili

DRC:Watu 23 wadaiwa kuuawa na waasi wa UG

Maafisa wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wanasema kuwa watu ishirini na watatu wameuawa kikatili na wanaodaiwa kuwa waasi wa Uganda.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa waasi ashambuliwa Ukraine

Mwanasiasa anayetambulika kama muasi mkuu nchini Ukraine yuko katika hali mahututi hospitalini baada ya watu waliokuwa wamejihami kumpiga risasi akiwa ndani ya gari lake.

 

10 years ago

BBCSwahili

Serikali ya Ukraine na waasi waafikiana

Rais wa Zamani wa Ukraine amesema kuwa mpango wa amani umeafikiwa katika mazungumzo yanayolenga kusitisha vita huko Ukraine.

 

11 years ago

BBCSwahili

'Hatujatoroka', wasema waasi wa Ukraine

Wapiganaji wanaounga mkono Urusi Mashariki mwa Ukraine wamepinga ripoti kwamba wameitoroka ngome yao kuu ya mji wa Slovianski.

 

10 years ago

BBCSwahili

Waasi waanza kuondoka Ukraine

Jenerali wa jeshi kutoka aliyehusika katika kutekelezwa kwa makubaliano ya kusitisha mapigano amesema waasi wameanza kuondoka

 

10 years ago

BBCSwahili

Waasi wa ADF wadaiwa kuwaua watu 20 DRC

watu wanaokisiwa kuwa wanachama wa kundi la waasi kutoka Uganda wamefanya mashambulizi nchini DRC na kuwaua watu 20

 

10 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA MABIBO BEER YAIDAI TUME YA USHINDANI (FCC) SH.TIRIONI MOJA KWA KINACHODAIWA KUKIUKA MKATABA

Na Dotto Mwaibale KAMPUNI ya Mabibo Beer Wines and Spirits Ltd ambayo ni wasambazaji wa bia ya Windhoek inaidai Tume ya Ushindani (FCC), sh.tirioni 1 kwa kukiuka uhalali wa mkataba wa Mabibo na kudai unapingana na ushindani. Katika hatua nyingine kampuni hiyo imeiomba Mahakama ya Rufaa kutoa uamuzi kuhusu uhalali wa uamuzi uliochukuliwa na Baraza la Ushindani (FCT) mwezi Aprili 2015 kuhusu haki ya Mabibo ya kuagiza na kusambaza bia za Windhoek kipekee katika soko la Tanzania. Hayo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani