Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waasi waanza kuondoka Ukraine

Jenerali wa jeshi kutoka aliyehusika katika kutekelezwa kwa makubaliano ya kusitisha mapigano amesema waasi wameanza kuondoka

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Waasi wachelewa kuondoka kambi Syria

Maelfu ya waasi waliotarajiwa kusaidiwa kuondoka kutoka kambi ya wakimbizi ya Yarmouk na maeneo ya karibu wameshindwa kuondoka kama ilivyotarajiwa.

 

11 years ago

BBCSwahili

'Hatujatoroka', wasema waasi wa Ukraine

Wapiganaji wanaounga mkono Urusi Mashariki mwa Ukraine wamepinga ripoti kwamba wameitoroka ngome yao kuu ya mji wa Slovianski.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa waasi ashambuliwa Ukraine

Mwanasiasa anayetambulika kama muasi mkuu nchini Ukraine yuko katika hali mahututi hospitalini baada ya watu waliokuwa wamejihami kumpiga risasi akiwa ndani ya gari lake.

 

10 years ago

BBCSwahili

Serikali ya Ukraine na waasi waafikiana

Rais wa Zamani wa Ukraine amesema kuwa mpango wa amani umeafikiwa katika mazungumzo yanayolenga kusitisha vita huko Ukraine.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ukraine:Waasi wadaiwa kukiuka mkataba

Serikali ya Ukraine inasema kuwa waasi wanaungwa mkono na Urusi wamekiuka pakubwa muafaka wa amani mara 20 zaidi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wachunguzi waanza kazi Ukraine

Wachunguzi wa kimataifa wako katika eneo la mkasa wa ndege ya Malaysia, Ukraine baada ya baraza la usalama la UN kupitisha azimio.

 

10 years ago

BBCSwahili

Drogba kuondoka Chelsea

Mshambuliaji wa Chelsea Didier Drogba anaihama klabu hiyo kwa mara ya pili.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ferdinand kuondoka Old Trafford

Mlinzi wa Manchester United Rio Ferdinand amesema ataondoka Old trafford msimu ujao.

 

10 years ago

BBCSwahili

Watalii wa Uingereza kuondoka Tunisia

Maelfu ya watalii wanajiandaa kuondoka nchini Tunisia kufuatia onyo kutoka kwa serikali ya Uingereza kwamba huenda kukatokea shambulio jingine la kigaidi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani