Waasi wa ADF wadaiwa kuwaua watu 20 DRC
watu wanaokisiwa kuwa wanachama wa kundi la waasi kutoka Uganda wamefanya mashambulizi nchini DRC na kuwaua watu 20
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili14 May
DRC:Watu 23 wadaiwa kuuawa na waasi wa UG
Maafisa wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wanasema kuwa watu ishirini na watatu wameuawa kikatili na wanaodaiwa kuwa waasi wa Uganda.
10 years ago
BBCSwahili16 Oct
Waasi wa ADF washambulia DRC
Jeshi la DRC linasema kuwa watu 26 wameuawa nchini humo katika shambulizi liliofanywa mjini Beni na waasi wa ADF.
10 years ago
Habarileo16 May
Kamanda wa waasi wa ADF kurejeshwa Uganda
SERIKALI ya Tanzania inatarajia kumpeleka Uganda Kamanda wa Kikosi cha Waasi cha ADF cha Uganda, Jamil Mukumu aliyekuwa akitafutwa muda mrefu hapa nchini na Shirika la Kimataifa la Polisi (Interpol).
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vlKUFPodnGV1sPBx9x1oTg8D-y7eh6mqYaKaQ96PHuXPFy3vmOW9ReCYpYIPEuhwFSMyIW5m1o6fZ1dDqQuwuxGx1c5ysgvH/JamilMukulu.jpg)
KIONGOZI WA WAASI WA ADF ATIWA MBARONI NCHINI TANZANIA
Kiongozi wa waasi wa ADF, Jamil Mukulu (menye shati jeupe). Waasi wa Allied Democratic Forces  (ADF). Raia wakikimbia mapigano dhidi ya ADF. JEESHI  la polisi nchini limefanikiwa kumtia mbaroni kiongozi wa kundi la waasi wa Allied Democratic Forces  (ADF) wa nchini Uganda,  Jamil Mukulu,  ambaye…
10 years ago
Mwananchi08 Jan
Wadaiwa kuwaua wanawake baada ya kutembea nao
Wafanyabiashara Abubakar Kasanga (28) na Ezekiel Kaseregela (25), wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na kesi mbili tofauti za mauaji ya kukusudia ya wanawake waliokuwa wakifanya nao mapenzi.
10 years ago
BBCSwahili22 Jan
Serikali yakana kuwaua waandamanaji DRC
Serikali ya jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imekanusha kuwauwa waandamanaji waliokuwa wakigoma kupinga mapendekezo ya kubadilisha sheria za uchaguzi mkuu.
9 years ago
TheCitizen16 Dec
New ADF rebel attack leaves four dead in DRC
A weekend attack blamed on Ugandan rebels in the eastern Democratic Republic of Congo left up to four dead including a civilian, sources said Monday.
10 years ago
BBCSwahili19 Apr
Ukraine:Waasi wadaiwa kukiuka mkataba
Serikali ya Ukraine inasema kuwa waasi wanaungwa mkono na Urusi wamekiuka pakubwa muafaka wa amani mara 20 zaidi.
10 years ago
BBCSwahili05 Jan
Majeshi ya DRC yapambana na waasi
Vikosi vya Jeshi la jamhuri ya kidemokrasia ya kongo vinaudhibiti mji wa Abya ulioko kaskazini mashariki mwa mji wa Beni .
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania