Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waasi wa ADF wadaiwa kuwaua watu 20 DRC

watu wanaokisiwa kuwa wanachama wa kundi la waasi kutoka Uganda wamefanya mashambulizi nchini DRC na kuwaua watu 20

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

DRC:Watu 23 wadaiwa kuuawa na waasi wa UG

Maafisa wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wanasema kuwa watu ishirini na watatu wameuawa kikatili na wanaodaiwa kuwa waasi wa Uganda.

 

10 years ago

BBCSwahili

Waasi wa ADF washambulia DRC

Jeshi la DRC linasema kuwa watu 26 wameuawa nchini humo katika shambulizi liliofanywa mjini Beni na waasi wa ADF.

 

10 years ago

Habarileo

Kamanda wa waasi wa ADF kurejeshwa Uganda

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard MembeSERIKALI ya Tanzania inatarajia kumpeleka Uganda Kamanda wa Kikosi cha Waasi cha ADF cha Uganda, Jamil Mukumu aliyekuwa akitafutwa muda mrefu hapa nchini na Shirika la Kimataifa la Polisi (Interpol).

 

10 years ago

GPL

KIONGOZI WA WAASI WA ADF ATIWA MBARONI NCHINI TANZANIA

Kiongozi wa waasi wa ADF, Jamil Mukulu (menye shati jeupe). Waasi wa Allied Democratic Forces  (ADF). Raia wakikimbia mapigano dhidi ya ADF. JEESHI  la polisi nchini limefanikiwa kumtia mbaroni kiongozi wa kundi la waasi wa Allied Democratic Forces  (ADF) wa nchini Uganda,  Jamil Mukulu,  ambaye…

 

10 years ago

Mwananchi

Wadaiwa kuwaua wanawake baada ya kutembea nao

Wafanyabiashara Abubakar Kasanga (28) na Ezekiel Kaseregela (25), wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na kesi mbili tofauti za mauaji ya kukusudia ya wanawake waliokuwa wakifanya nao mapenzi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Serikali yakana kuwaua waandamanaji DRC

Serikali ya jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imekanusha kuwauwa waandamanaji waliokuwa wakigoma kupinga mapendekezo ya kubadilisha sheria za uchaguzi mkuu.

 

9 years ago

TheCitizen

New ADF rebel attack leaves four dead in DRC

A weekend attack blamed on Ugandan rebels in the eastern Democratic Republic of Congo left up to four dead including a civilian, sources said Monday.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ukraine:Waasi wadaiwa kukiuka mkataba

Serikali ya Ukraine inasema kuwa waasi wanaungwa mkono na Urusi wamekiuka pakubwa muafaka wa amani mara 20 zaidi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Majeshi ya DRC yapambana na waasi

Vikosi vya Jeshi la jamhuri ya kidemokrasia ya kongo vinaudhibiti mji wa Abya ulioko kaskazini mashariki mwa mji wa Beni .

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani