Waasi wa ADF washambulia DRC
Jeshi la DRC linasema kuwa watu 26 wameuawa nchini humo katika shambulizi liliofanywa mjini Beni na waasi wa ADF.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili18 Oct
Waasi wa ADF wadaiwa kuwaua watu 20 DRC
watu wanaokisiwa kuwa wanachama wa kundi la waasi kutoka Uganda wamefanya mashambulizi nchini DRC na kuwaua watu 20
10 years ago
Habarileo16 May
Kamanda wa waasi wa ADF kurejeshwa Uganda
SERIKALI ya Tanzania inatarajia kumpeleka Uganda Kamanda wa Kikosi cha Waasi cha ADF cha Uganda, Jamil Mukumu aliyekuwa akitafutwa muda mrefu hapa nchini na Shirika la Kimataifa la Polisi (Interpol).
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vlKUFPodnGV1sPBx9x1oTg8D-y7eh6mqYaKaQ96PHuXPFy3vmOW9ReCYpYIPEuhwFSMyIW5m1o6fZ1dDqQuwuxGx1c5ysgvH/JamilMukulu.jpg)
KIONGOZI WA WAASI WA ADF ATIWA MBARONI NCHINI TANZANIA
Kiongozi wa waasi wa ADF, Jamil Mukulu (menye shati jeupe). Waasi wa Allied Democratic Forces  (ADF). Raia wakikimbia mapigano dhidi ya ADF. JEESHI  la polisi nchini limefanikiwa kumtia mbaroni kiongozi wa kundi la waasi wa Allied Democratic Forces  (ADF) wa nchini Uganda,  Jamil Mukulu,  ambaye…
9 years ago
TheCitizen16 Dec
New ADF rebel attack leaves four dead in DRC
A weekend attack blamed on Ugandan rebels in the eastern Democratic Republic of Congo left up to four dead including a civilian, sources said Monday.
10 years ago
BBCSwahili05 Jan
Majeshi ya DRC yapambana na waasi
Vikosi vya Jeshi la jamhuri ya kidemokrasia ya kongo vinaudhibiti mji wa Abya ulioko kaskazini mashariki mwa mji wa Beni .
11 years ago
BBCSwahili11 Dec
Wanajeshi wa UN wapambana na waasi DRC
Wanajeshi wa UN wameanza kupambana na waasi wa Kihutu kutoka Rwanda pamoja na makundi mengine ya waasi Mashariki mwa DRC
10 years ago
BBCSwahili03 Jan
Jeshi la DRC kuwakabili waasi wa FDLR
Serikali ya DRC inasema kuwa iko tayari kundesha oparesheni ya kijeshi dhidi ya waasi wa kihutu mashariki mwa nchi hiyo.
10 years ago
BBCSwahili29 Jan
Jeshi la DRC kuwakabili waasi wa kihutu
Mkuu wa jeshi katika jamhuri ya kidemokrasi ya Congo, ametangaza operesheni kali dhidi wapiganaji wa kihutu DFLR
10 years ago
BBCSwahili16 Mar
Jeshi la DRC lawakamata waasi 182
Harakati za kuifurusha kundi la wapiganaji wa FDLR imeshika kasi majeshi ya DRC ikidaiimewashika wapigani 182 na silaha zao
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania