KIONGOZI WA WAASI WA ADF ATIWA MBARONI NCHINI TANZANIA
Kiongozi wa waasi wa ADF, Jamil Mukulu (menye shati jeupe). Waasi wa Allied Democratic Forces  (ADF). Raia wakikimbia mapigano dhidi ya ADF. JEESHI  la polisi nchini limefanikiwa kumtia mbaroni kiongozi wa kundi la waasi wa Allied Democratic Forces  (ADF) wa nchini Uganda,  Jamil Mukulu,  ambaye…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili16 Oct
Waasi wa ADF washambulia DRC
10 years ago
Habarileo16 May
Kamanda wa waasi wa ADF kurejeshwa Uganda
SERIKALI ya Tanzania inatarajia kumpeleka Uganda Kamanda wa Kikosi cha Waasi cha ADF cha Uganda, Jamil Mukumu aliyekuwa akitafutwa muda mrefu hapa nchini na Shirika la Kimataifa la Polisi (Interpol).
10 years ago
BBCSwahili18 Oct
Waasi wa ADF wadaiwa kuwaua watu 20 DRC
11 years ago
GPLMAIMARTHA ATIWA MBARONI
10 years ago
BBCSwahili12 Jul
Kiongozi wa ADF akabidhiwa Uganda
10 years ago
Tanzania Daima28 Oct
Mtuhumiwa wa ubakaji atiwa mbaroni
JESHI la Polisi mkoani Pwani limefanikiwa kumkamata Michael William maarufu (Michael dada), mkazi wa Kiluvya, wilayani Kisarawe anayetuhumiwa kuhusika na matukio ya ubakaji wa vikongwe mkoani hapa. Akizungumza na waandishi...
10 years ago
Mwananchi14 Mar
Aliyejifanya katibu wa JK atiwa mbaroni
10 years ago
Mwananchi25 Nov
Mkosamali atiwa mbaroni Kigoma
9 years ago
Habarileo02 Nov
Jangili mwingine hatari atiwa mbaroni
JITIHADA za serikali katika mapambano dhidi ya ujangili zinaendelea kuzaa matunda baada ya Kikosi cha Kupambana na Ujangili kumkamata mtuhumiwa mkuu wa ujangili, Boniface Mathew Mariango maarufu Shetani.