Aliyejifanya katibu wa JK atiwa mbaroni
>Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, limemtia nguvuni mkazi mmoja wa jijini hapa kwa tuhuma za kutumia wadhifa wa Katibu wa Rais Jakaya Kikwete kujipatia fedha kutoka taasisi na watu binafsi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi20 Dec
Aliyejifanya Balozi Sefue mbaroni
10 years ago
Habarileo09 Jun
Aliyejifanya Katibu wa CCM Ilala jela miaka 9
MFANYABIASHARA, Leonard Mhilu (42) amehukumiwa kifungo cha miaka tisa jela baada ya kupatikana na hatia ya kughushi na kujipatia Sh milioni 12.9 kwa udanganyifu, baada ya kujifanya ni Katibu wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Ilala.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ct9BE8xQpt6Nd**YA-B4eqKHS-ofD6Sz95iJDHj5JkDkTvNKG9QjjRPE8mBJeDh458e8m8YQhCohDS9UuW-TE493ieJOSHTk/mai.jpg?width=650)
MAIMARTHA ATIWA MBARONI
10 years ago
Tanzania Daima28 Oct
Mtuhumiwa wa ubakaji atiwa mbaroni
JESHI la Polisi mkoani Pwani limefanikiwa kumkamata Michael William maarufu (Michael dada), mkazi wa Kiluvya, wilayani Kisarawe anayetuhumiwa kuhusika na matukio ya ubakaji wa vikongwe mkoani hapa. Akizungumza na waandishi...
10 years ago
Mwananchi25 Nov
Mkosamali atiwa mbaroni Kigoma
9 years ago
Habarileo02 Nov
Jangili mwingine hatari atiwa mbaroni
JITIHADA za serikali katika mapambano dhidi ya ujangili zinaendelea kuzaa matunda baada ya Kikosi cha Kupambana na Ujangili kumkamata mtuhumiwa mkuu wa ujangili, Boniface Mathew Mariango maarufu Shetani.
9 years ago
Mwananchi03 Sep
Anayedaiwa kuwatapeli wastaafu atiwa mbaroni
10 years ago
Habarileo20 May
Mkufunzi ‘Red Brigade’ atiwa mbaroni
POLISI mkoani Morogoro inamshikilia Naibu Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chadema, Boniface Jacob (32) , mkazi wa Dar es Salaam kwa kudaiwa kukiuka Sheria ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na ya Vyama vya Siasa nchini inayozuia uundaji wa vikundi vya ulinzi wa vyama.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-H9dAZOYRSd8/Xng3eT9S_MI/AAAAAAAC1f4/zX2hd0bjn7o52Bw9S9x9Y8eDajq6XkyQgCLcBGAsYHQ/s72-c/CrcmP1xWIAIjnXD-1.jpg)
ATIWA MBARONI KWA TUHUMA ZA KUMUUA MPENZI WAKE
![](https://1.bp.blogspot.com/-H9dAZOYRSd8/Xng3eT9S_MI/AAAAAAAC1f4/zX2hd0bjn7o52Bw9S9x9Y8eDajq6XkyQgCLcBGAsYHQ/s1600/CrcmP1xWIAIjnXD-1.jpg)
Ni kwamba mnamo tarehe 22/03/2020 majira ya saa 09:00 Asubuhi huko katika nyumba ya kulala wageni iitwayo “NEGERO” iliyopo Mtaa wa Ilolo, Kata ya Ruanda, Tarafa ya Iyunga, Jijini Mbeya katika chumba namba 111 @ Victoria, Mwanamke mmoja aitwaye JESCA MICHAEL @ KUNGULU [28] Mhudumu wa...