Mkufunzi ‘Red Brigade’ atiwa mbaroni
POLISI mkoani Morogoro inamshikilia Naibu Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chadema, Boniface Jacob (32) , mkazi wa Dar es Salaam kwa kudaiwa kukiuka Sheria ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na ya Vyama vya Siasa nchini inayozuia uundaji wa vikundi vya ulinzi wa vyama.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-JYKuE91C2wk/VNiouRREUTI/AAAAAAAAPps/lBbDGc3vh30/s72-c/MBOWE%2B1.jpg)
MBOWE ATETA NA RED BRIGADE DODOMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-JYKuE91C2wk/VNiouRREUTI/AAAAAAAAPps/lBbDGc3vh30/s640/MBOWE%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-7w7V96ljs90/VNiowSipeII/AAAAAAAAPp0/CSz7Hc5GJAQ/s1600/MBOWE%2Bjpg.jpg)
10 years ago
Mtanzania06 Mar
Nape awananga Red Brigade wa Chadema
NA ELIYA MBONEA, MPWAPWA
KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa CCM,Nape Nnauye amerusha kombora kwa Chama cha Demokrasia na Maendekeo (CHADEMA) akidai makundi ya vijana wa ulinzi vya chama hicho (Red Brigade) yameandaliwa kwa ajili ya kuingia msituni kwa shughuli za ugaidi.
Kauli hiyo aliitoa juzi wilayani Mpwapwa kwenye ziara ya Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, inayoendelea mkoani Dodoma.
“CHADEMA wanaandaa vijana kupitia Red Brigade ili kuingia msituni na kuchukua madaraka ya nchi kwa...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-PxeFW3o0ntY/VPULzAQQyBI/AAAAAAAAR10/huzHnwesYEc/s72-c/mbowe_Red%2BBrigade.jpg)
RED BRIGADE WALA KIAPO CHA UTII MBELE YA MH FREEMAN MBOWE
![](http://2.bp.blogspot.com/-PxeFW3o0ntY/VPULzAQQyBI/AAAAAAAAR10/huzHnwesYEc/s640/mbowe_Red%2BBrigade.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-vRyN5-mpjX0/VPUMRSqd5TI/AAAAAAAAR2E/_dDVe9HRv0I/s640/Lwakatare.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-GRijV9EBiQM/VPULzEL8w9I/AAAAAAAAR14/iJmM4VuWOnY/s640/red%2Bbrigade2.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ct9BE8xQpt6Nd**YA-B4eqKHS-ofD6Sz95iJDHj5JkDkTvNKG9QjjRPE8mBJeDh458e8m8YQhCohDS9UuW-TE493ieJOSHTk/mai.jpg?width=650)
MAIMARTHA ATIWA MBARONI
10 years ago
Mwananchi25 Nov
Mkosamali atiwa mbaroni Kigoma
10 years ago
Mwananchi14 Mar
Aliyejifanya katibu wa JK atiwa mbaroni
10 years ago
Tanzania Daima28 Oct
Mtuhumiwa wa ubakaji atiwa mbaroni
JESHI la Polisi mkoani Pwani limefanikiwa kumkamata Michael William maarufu (Michael dada), mkazi wa Kiluvya, wilayani Kisarawe anayetuhumiwa kuhusika na matukio ya ubakaji wa vikongwe mkoani hapa. Akizungumza na waandishi...
9 years ago
Habarileo02 Nov
Jangili mwingine hatari atiwa mbaroni
JITIHADA za serikali katika mapambano dhidi ya ujangili zinaendelea kuzaa matunda baada ya Kikosi cha Kupambana na Ujangili kumkamata mtuhumiwa mkuu wa ujangili, Boniface Mathew Mariango maarufu Shetani.
9 years ago
Mwananchi03 Sep
Anayedaiwa kuwatapeli wastaafu atiwa mbaroni