Aliyejifanya Balozi Sefue mbaroni
Polisi mkoani Kilimanjaro, imemtia mbaroni mtuhumiwa wa makosa ya kimtandao, ambaye anadaiwa kutumia jina la Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue kutapeli viongozi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi14 Mar
Aliyejifanya katibu wa JK atiwa mbaroni
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-xsfNMw00nns/VaRA5S0TFrI/AAAAAAAHpgw/Oo3imtv-UIs/s72-c/unnamed%2B%252813%2529.jpg)
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue atembelea balozi wa Tanzania Uingereza jijini London
![](http://4.bp.blogspot.com/-xsfNMw00nns/VaRA5S0TFrI/AAAAAAAHpgw/Oo3imtv-UIs/s640/unnamed%2B%252813%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-kmKG1pZqxxQ/VaRA7bIsdXI/AAAAAAAHpg4/SdCEn9K7g3U/s640/unnamed%2B%252812%2529.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima22 Jun
Balozi Sefue aonya
KATIBU Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, amewataka watumishi wa umma nchini kuzingatia sheria, kanuni na taratibu ili kuleta tija kwenye maeneo yao ya kazi. Sefue aliyasema hayo jijini Dar es...
9 years ago
Habarileo23 Nov
Balozi Sefue kukagua Muhimbili
BAADA ya Rais John Magufuli, kuagiza fedha zilizochangwa kwa ajili ya kugharamia hafla ya wabunge zipelekwe katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kwa ajili ya kununulia vitanda vya wagonjwa, leo Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue anatarajia kufanya ziara katika hospitali hiyo.
10 years ago
Uhuru Newspaper27 Oct
Balozi Sefue atema cheche
NA WAANDISHI WETU, DODOMA
SERIKALI imewataka viongozi waandamizi wanaoendelea kutumia risiti za kuandikwa kwa mikono katika makusanyo ya serikali kuachia ngazi kwa kuwa wameshindwa kudhibiti mapato ya serikali.
Kauli hiyo ilitolewa jana na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, alipokuwa akifungua mkutano wa faragha wa mwaka wa makatibu wakuu, manaibu na makatibu tawala wa mikoa.
Sefue alisema mfumo ya kukusanya mapato kwa kutumia risiti zilizoandikwa kwa mikono unasababisha uvujaji mkubwa...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-97DGuZ7Nn74/U0wltnMx5AI/AAAAAAAFars/6RZ-XvpkJE0/s72-c/D92A5088.jpg)
Balozi Sefue aonesha Hati ya Muungano
![](http://3.bp.blogspot.com/-97DGuZ7Nn74/U0wltnMx5AI/AAAAAAAFars/6RZ-XvpkJE0/s1600/D92A5088.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-o3e76_MMAV8/U0wl83fURSI/AAAAAAAFar0/lMWSWsjDQNY/s1600/D92A5126.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-teR-yaLv0J4/U0wmE2f4urI/AAAAAAAFar8/RgjxykxsR8U/s1600/D92A5133.jpg)
10 years ago
Mwananchi30 Oct
Balozi Sefue atahadharisha makatibu wakuu
9 years ago
Dewji Blog24 Nov
Balozi Sefue awaasa watumishi wa umma kuwajibika
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akisalimia na mmoja wa watendaji alipofanya ziara katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili jana.
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akizungumza na mmoja ya wagomjwa waliolazwa katika kitengo cha mifupa cha MOI Bw. Muhusin Hamiri.
10 years ago
Habarileo15 Dec
Balozi Sefue awafunda wasomi wa vyuo vikuu
KATIBU Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue amewataka wanafunzi wa vyuo vikuu kutovigeuza vyuo kuwa majukwaa ya kisiasa na mahali pa fujo badala yake watumie fursa waliyonayo kujipatia elimu, ujuzi na maarifa.