Jeshi la DRC kuwakabili waasi wa kihutu
Mkuu wa jeshi katika jamhuri ya kidemokrasi ya Congo, ametangaza operesheni kali dhidi wapiganaji wa kihutu DFLR
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili03 Jan
Jeshi la DRC kuwakabili waasi wa FDLR
Serikali ya DRC inasema kuwa iko tayari kundesha oparesheni ya kijeshi dhidi ya waasi wa kihutu mashariki mwa nchi hiyo.
10 years ago
BBCSwahili16 Mar
Jeshi la DRC lawakamata waasi 182
Harakati za kuifurusha kundi la wapiganaji wa FDLR imeshika kasi majeshi ya DRC ikidaiimewashika wapigani 182 na silaha zao
11 years ago
BBCSwahili11 Dec
Wanajeshi wa UN wapambana na waasi DRC
Wanajeshi wa UN wameanza kupambana na waasi wa Kihutu kutoka Rwanda pamoja na makundi mengine ya waasi Mashariki mwa DRC
10 years ago
BBCSwahili05 Jan
Majeshi ya DRC yapambana na waasi
Vikosi vya Jeshi la jamhuri ya kidemokrasia ya kongo vinaudhibiti mji wa Abya ulioko kaskazini mashariki mwa mji wa Beni .
10 years ago
BBCSwahili16 Oct
Waasi wa ADF washambulia DRC
Jeshi la DRC linasema kuwa watu 26 wameuawa nchini humo katika shambulizi liliofanywa mjini Beni na waasi wa ADF.
10 years ago
BBCSwahili14 May
DRC:Watu 23 wadaiwa kuuawa na waasi wa UG
Maafisa wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wanasema kuwa watu ishirini na watatu wameuawa kikatili na wanaodaiwa kuwa waasi wa Uganda.
10 years ago
BBCSwahili18 Oct
Waasi wa ADF wadaiwa kuwaua watu 20 DRC
watu wanaokisiwa kuwa wanachama wa kundi la waasi kutoka Uganda wamefanya mashambulizi nchini DRC na kuwaua watu 20
11 years ago
BBCSwahili16 Jan
Jeshi la UG vitani na waasi S.Kusini
Uganda imekiri kupambana na waasi hao wanaoongozwa na makamu wa rais wa zamani Riek Machar tangu mwanzoni mwa wiki hii
11 years ago
BBCSwahili08 Jan
Jeshi lapambana na waasi Lubumbashi
Takriban watu 26 waliuawa Jumanne katika mapigano kati ya wanajeshi wa serikali na waasi katika mji wa Lubumbashi nchini DRC.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania