Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jeshi la UG vitani na waasi S.Kusini

Uganda imekiri kupambana na waasi hao wanaoongozwa na makamu wa rais wa zamani Riek Machar tangu mwanzoni mwa wiki hii

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi waasi jeshi Sudan Kusini

Kinara wa serikali Tulklio Odongi aliambia bunge siku ya Jumatatu kuwa hadi 70% ya wanajeshi wa serikali wanageuka na kuwa watiifu kwa Riek Machar pamoja na kuasi jeshi.

 

10 years ago

Mwananchi

Sudan kusini yajadiliwa Afrika Mashariki ikiwa vitani

WAKUU wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) hivi karibuni wametoa maelekezo kwa Baraza la Mawaziri kuleta taarifa ya uhakiki wa vigezo vya kuruhusu kukubaliwa kwa maombi ya nchi ya Sudani Kusini kujiunga na Jumuiya hiyo.Uhakiki huo unatakiwa kuwa tayari ifikapo, Novemba mwaka huu. Muda huo umewekwa na kikao cha faragha cha wakuu hao kilichofanyika mjini Arusha, Tanzania.

 

11 years ago

BBCSwahili

Jeshi lapambana na waasi Lubumbashi

Takriban watu 26 waliuawa Jumanne katika mapigano kati ya wanajeshi wa serikali na waasi katika mji wa Lubumbashi nchini DRC.

 

11 years ago

BBCSwahili

Viiongozi wa waasi kushitakiwa S.Kusini

Serikali ya Sudan Kusini imesema kuwa itawahukumu wahusika wakuu wa njama ya mapinduzi dhidi ya serikali ya Rais Salva Kiir.

 

9 years ago

BBCSwahili

Waasi wafukuza jeshi la Marekani Libya

Wanajeshi 20 wa Marekani waliondoka kuzuia vurugu baada ya kukabiliwa na wapiganaji wanaodhibiti eneo walilotua huko Libya

 

10 years ago

BBCSwahili

Jeshi la DRC kuwakabili waasi wa kihutu

Mkuu wa jeshi katika jamhuri ya kidemokrasi ya Congo, ametangaza operesheni kali dhidi wapiganaji wa kihutu DFLR

 

10 years ago

BBCSwahili

Jeshi la DRC kuwakabili waasi wa FDLR

Serikali ya DRC inasema kuwa iko tayari kundesha oparesheni ya kijeshi dhidi ya waasi wa kihutu mashariki mwa nchi hiyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Jeshi la DRC lawakamata waasi 182

Harakati za kuifurusha kundi la wapiganaji wa FDLR imeshika kasi majeshi ya DRC ikidaiimewashika wapigani 182 na silaha zao

 

10 years ago

BBCSwahili

Jeshi la Saudia lashambulia waasi, Yemen

Saud Arabia imeanza operesheni zake za kijeshi nchini Yemen, ikiwa ni kujibu ombi la Rais wa nchi hiyo Abd Rabbuh Mansour Hadi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani