Waasi wafukuza jeshi la Marekani Libya
Wanajeshi 20 wa Marekani waliondoka kuzuia vurugu baada ya kukabiliwa na wapiganaji wanaodhibiti eneo walilotua huko Libya
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili13 Jul
Libya:Waasi wakabiliana mjini Tripoli
Kuna ripoti kwamba mapigano yamezuka nchini Libya karibu na uwanja wa kimataifa wa ndege katika mji mkuu wa Tripoli.
10 years ago
BBCSwahili23 Apr
Libya:Waasi wanawazuia wahamiaji 400
Mkuu wa utawala wa waasi nchini Libya ameiambia BBC kuwa vikosi vyao vinafanya juhudi ziwezekanazo kuzuia wahamiaji haramu.
11 years ago
BBCSwahili07 Apr
Waasi Libya waridhia mafuta yauzwe
Makubaliano yameafikiwa kati ya Serikali na waasi kuondoa kizuizi cha kusafirisha mafuta mashariki mwa Libya kuyauza ng'ambo.
10 years ago
BBCSwahili04 Mar
Waasi waviteka visima vya mafuta Libya
Wapiganaji wa kiislamu wameripotiwa kuviteka visima viwili vya mafuta katikati mwa Libya
11 years ago
BBCSwahili08 Jan
Jeshi lapambana na waasi Lubumbashi
Takriban watu 26 waliuawa Jumanne katika mapigano kati ya wanajeshi wa serikali na waasi katika mji wa Lubumbashi nchini DRC.
11 years ago
BBCSwahili16 Jan
Jeshi la UG vitani na waasi S.Kusini
Uganda imekiri kupambana na waasi hao wanaoongozwa na makamu wa rais wa zamani Riek Machar tangu mwanzoni mwa wiki hii
10 years ago
BBCSwahili26 Mar
Jeshi la Saudia lashambulia waasi, Yemen
Saud Arabia imeanza operesheni zake za kijeshi nchini Yemen, ikiwa ni kujibu ombi la Rais wa nchi hiyo Abd Rabbuh Mansour Hadi.
10 years ago
BBCSwahili16 Mar
Jeshi la DRC lawakamata waasi 182
Harakati za kuifurusha kundi la wapiganaji wa FDLR imeshika kasi majeshi ya DRC ikidaiimewashika wapigani 182 na silaha zao
10 years ago
BBCSwahili29 Jan
Jeshi la DRC kuwakabili waasi wa kihutu
Mkuu wa jeshi katika jamhuri ya kidemokrasi ya Congo, ametangaza operesheni kali dhidi wapiganaji wa kihutu DFLR
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania