Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waasi wafukuza jeshi la Marekani Libya

Wanajeshi 20 wa Marekani waliondoka kuzuia vurugu baada ya kukabiliwa na wapiganaji wanaodhibiti eneo walilotua huko Libya

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Libya:Waasi wakabiliana mjini Tripoli

Kuna ripoti kwamba mapigano yamezuka nchini Libya karibu na uwanja wa kimataifa wa ndege katika mji mkuu wa Tripoli.

 

10 years ago

BBCSwahili

Libya:Waasi wanawazuia wahamiaji 400

Mkuu wa utawala wa waasi nchini Libya ameiambia BBC kuwa vikosi vyao vinafanya juhudi ziwezekanazo kuzuia wahamiaji haramu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Waasi Libya waridhia mafuta yauzwe

Makubaliano yameafikiwa kati ya Serikali na waasi kuondoa kizuizi cha kusafirisha mafuta mashariki mwa Libya kuyauza ng'ambo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Waasi waviteka visima vya mafuta Libya

Wapiganaji wa kiislamu wameripotiwa kuviteka visima viwili vya mafuta katikati mwa Libya

 

11 years ago

BBCSwahili

Jeshi lapambana na waasi Lubumbashi

Takriban watu 26 waliuawa Jumanne katika mapigano kati ya wanajeshi wa serikali na waasi katika mji wa Lubumbashi nchini DRC.

 

11 years ago

BBCSwahili

Jeshi la UG vitani na waasi S.Kusini

Uganda imekiri kupambana na waasi hao wanaoongozwa na makamu wa rais wa zamani Riek Machar tangu mwanzoni mwa wiki hii

 

10 years ago

BBCSwahili

Jeshi la Saudia lashambulia waasi, Yemen

Saud Arabia imeanza operesheni zake za kijeshi nchini Yemen, ikiwa ni kujibu ombi la Rais wa nchi hiyo Abd Rabbuh Mansour Hadi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Jeshi la DRC lawakamata waasi 182

Harakati za kuifurusha kundi la wapiganaji wa FDLR imeshika kasi majeshi ya DRC ikidaiimewashika wapigani 182 na silaha zao

 

10 years ago

BBCSwahili

Jeshi la DRC kuwakabili waasi wa kihutu

Mkuu wa jeshi katika jamhuri ya kidemokrasi ya Congo, ametangaza operesheni kali dhidi wapiganaji wa kihutu DFLR

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani