Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Libya:Waasi wanawazuia wahamiaji 400

Mkuu wa utawala wa waasi nchini Libya ameiambia BBC kuwa vikosi vyao vinafanya juhudi ziwezekanazo kuzuia wahamiaji haramu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Bukoba yanasa wahamiaji 400

Wahamiaji haramu 400 raia wa Burundi wamekamatwa na Idara ya Uhamiaji wilayani Ngara, mkoani Kagera kwa tuhuma za kuingia nchini kinyume cha sheria na kurejeshwa nchini mwao katika Operesheni Kimbunga iliyofanyika katika mikoa ya Kanda ya Ziwa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Libya:Waasi wakabiliana mjini Tripoli

Kuna ripoti kwamba mapigano yamezuka nchini Libya karibu na uwanja wa kimataifa wa ndege katika mji mkuu wa Tripoli.

 

11 years ago

BBCSwahili

Waasi Libya waridhia mafuta yauzwe

Makubaliano yameafikiwa kati ya Serikali na waasi kuondoa kizuizi cha kusafirisha mafuta mashariki mwa Libya kuyauza ng'ambo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Waasi wafukuza jeshi la Marekani Libya

Wanajeshi 20 wa Marekani waliondoka kuzuia vurugu baada ya kukabiliwa na wapiganaji wanaodhibiti eneo walilotua huko Libya

 

10 years ago

BBCSwahili

Waasi waviteka visima vya mafuta Libya

Wapiganaji wa kiislamu wameripotiwa kuviteka visima viwili vya mafuta katikati mwa Libya

 

9 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji zaidi ya 50 wafariki Libya

Watu wapatao 50 wamekutwa wamekufa katika sehemu ya mizigo ya boti iliyokuwa imebeba wahamiaji waliokamatwa katika pwani ya Libya.

 

11 years ago

BBCSwahili

Idadi ya wahamiaji yaongezeka Libya

Mamlaka nchini Libya imesema kuwa imeshindwa kudhibiti idadi ya wahamiaji wanaotaka kuingia Ulaya kwa kutumia mlango wa nyuma.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji wamekufa maji wakitokea LIbya

Wahamiaji wengi kutoka Libya wamepoteza maisha yao baada ya mashua waliyokuwa wakisafiria kuzama.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani