Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanajeshi wa UN wapambana na waasi DRC

Wanajeshi wa UN wameanza kupambana na waasi wa Kihutu kutoka Rwanda pamoja na makundi mengine ya waasi Mashariki mwa DRC

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Waasi wapambana na wanajeshi Yemen

Serikali ya Yemen imeafikia makubaliano na kundi la waasi wa Houthi baada ya masaa kadha ya mapigano makali kwenye ikulu ya rais.

 

10 years ago

BBCSwahili

Waasi na jeshi wapambana,Sudan Kusin

Kikosi cha waasi Sudan Kusini na majeshi ya serikali wamepambana kuwania kumiliki mji wa Malakal

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wa Chad, Boko Haram,wapambana

Wanajeshi wa Chad wapambana na Boko Haram Kaskazini Mashariki mwa Nigeria

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wa Pakistan wawavamia waasi

Maafisa kazkazini Magharibi mwa Pakistan wamesema kuwa ndege za kijeshi za serikali zimefanya mashambulizi ya angani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wawaua waasi waliojisalimisha

Wakaazi nchini Burundi wameiambia BBC kwamba walishuhudia wanajeshi wa serikali wakiwaua waasi waliojisalimisha.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi waasi warejea kazini CAR

Wengi walioasi walikuwa Wakristo waliohofia kushambuliwa na wenzao waisilamu baada ya mapinduzi yaliyoongozwa na waasi wa Seleka.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi waasi jeshi Sudan Kusini

Kinara wa serikali Tulklio Odongi aliambia bunge siku ya Jumatatu kuwa hadi 70% ya wanajeshi wa serikali wanageuka na kuwa watiifu kwa Riek Machar pamoja na kuasi jeshi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Waasi wa ADF washambulia DRC

Jeshi la DRC linasema kuwa watu 26 wameuawa nchini humo katika shambulizi liliofanywa mjini Beni na waasi wa ADF.

 

10 years ago

BBCSwahili

Majeshi ya DRC yapambana na waasi

Vikosi vya Jeshi la jamhuri ya kidemokrasia ya kongo vinaudhibiti mji wa Abya ulioko kaskazini mashariki mwa mji wa Beni .

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani