Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanajeshi wa Pakistan wawavamia waasi

Maafisa kazkazini Magharibi mwa Pakistan wamesema kuwa ndege za kijeshi za serikali zimefanya mashambulizi ya angani.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Waasi wapambana na wanajeshi Yemen

Serikali ya Yemen imeafikia makubaliano na kundi la waasi wa Houthi baada ya masaa kadha ya mapigano makali kwenye ikulu ya rais.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wa UN wapambana na waasi DRC

Wanajeshi wa UN wameanza kupambana na waasi wa Kihutu kutoka Rwanda pamoja na makundi mengine ya waasi Mashariki mwa DRC

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wawaua waasi waliojisalimisha

Wakaazi nchini Burundi wameiambia BBC kwamba walishuhudia wanajeshi wa serikali wakiwaua waasi waliojisalimisha.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi waasi jeshi Sudan Kusini

Kinara wa serikali Tulklio Odongi aliambia bunge siku ya Jumatatu kuwa hadi 70% ya wanajeshi wa serikali wanageuka na kuwa watiifu kwa Riek Machar pamoja na kuasi jeshi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi waasi warejea kazini CAR

Wengi walioasi walikuwa Wakristo waliohofia kushambuliwa na wenzao waisilamu baada ya mapinduzi yaliyoongozwa na waasi wa Seleka.

 

10 years ago

BBCSwahili

Pakistan:Wanamgambo kifungoni

Wanamgambo wa Taliban waliohusika na shambulizi la miaka mitatu iliyopita dhidi ya Malala Yousafzai wahukumiwa kifungo

 

11 years ago

BBCSwahili

Pakistan kuzungumza na Taliban

Kundi la waakilishi wa serikali nchini Pakistan linasafiri kuelekea katika eneo la wapiganaji wa Taliban Kaskazini Magharibi mwa taifa hilo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 12 wamenyongwa Pakistan

Pakistan imewanyonga watu 12 kutoka magereza tofauti kote nchini saa chache tu tangu amri ya kurejesha hukumu ya kifo kuidhinishwa

 

10 years ago

BBCSwahili

Pakistan yaibua vipaji

Na sasa Saania na Muqqadas wanataka kuizunguka dunia ,huku wakiwa na matumaini ya kuonana na Justin Bieber na kuimba pamoja naye.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani