Wanajeshi wawaua waasi waliojisalimisha
Wakaazi nchini Burundi wameiambia BBC kwamba walishuhudia wanajeshi wa serikali wakiwaua waasi waliojisalimisha.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili28 Jan
Waasi waliojisalimisha wauawa Burundi
Mashahidi kadhaa wameiambia BBC kuwa Wanajeshi wa Burundi wamewaua waasi waliojisalimisha kwa Jeshi la nchi hiyo.
10 years ago
BBCSwahili27 Jan
Wanajeshi wa UN wawaua waandamanaji 3
Ripoti kutoka Mali zinasema kuwa walinda amani wa umoja wa mataifa wamewafyatulia risasi waandamanaji na kuwaua watu watatu.
11 years ago
BBCSwahili15 Jun
Wanajeshi wa Pakistan wawavamia waasi
Maafisa kazkazini Magharibi mwa Pakistan wamesema kuwa ndege za kijeshi za serikali zimefanya mashambulizi ya angani.
11 years ago
BBCSwahili11 Dec
Wanajeshi wa UN wapambana na waasi DRC
Wanajeshi wa UN wameanza kupambana na waasi wa Kihutu kutoka Rwanda pamoja na makundi mengine ya waasi Mashariki mwa DRC
10 years ago
BBCSwahili19 Jan
Waasi wapambana na wanajeshi Yemen
Serikali ya Yemen imeafikia makubaliano na kundi la waasi wa Houthi baada ya masaa kadha ya mapigano makali kwenye ikulu ya rais.
11 years ago
BBCSwahili19 Feb
Wanajeshi waasi jeshi Sudan Kusini
Kinara wa serikali Tulklio Odongi aliambia bunge siku ya Jumatatu kuwa hadi 70% ya wanajeshi wa serikali wanageuka na kuwa watiifu kwa Riek Machar pamoja na kuasi jeshi.
11 years ago
BBCSwahili13 Jan
Wanajeshi waasi warejea kazini CAR
Wengi walioasi walikuwa Wakristo waliohofia kushambuliwa na wenzao waisilamu baada ya mapinduzi yaliyoongozwa na waasi wa Seleka.
10 years ago
BBCSwahili11 Aug
Mlipuko wawaua watu 47 Nigeria
Jeshi nchini Nigeria linasema kuwa kumetokea mlipuko mkubwa katika soko moja kaskazini mashariki mwa jimbo la Borno ambapo watu 47 wamefariki huku wengine 55 wakijeruhiwa katika mji wa sabon gari.
10 years ago
BBCSwahili21 Nov
Mkanyagano hatari wawaua 11 Zimbabwe
Watu 11 wamefariki katika mkanyagano nchini Zimbabwe baada ya maombi yaliyoongozwa na muhibiri Walter Magaya katika uwanja wa soka.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania