Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkanyagano hatari wawaua 11 Zimbabwe

Watu 11 wamefariki katika mkanyagano nchini Zimbabwe baada ya maombi yaliyoongozwa na muhibiri Walter Magaya katika uwanja wa soka.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Mkanyagano katika shule ya Kakamega: Wazazi wa wanafunzi walioathirika na mkanyagano Kenya waomboleza

Mazishi ya wanafunzi waliofariki kufuatia mkanyagano katika shule ya msingi ya kakamega nchini Kenya yameanza.

 

11 years ago

Michuzi

BARABARA KIJICHI - MBAGALA KUU NI HATARI ZAIDI YA HATARI!

Barabara ya Kijichi – Mbagala Kuu, ndani ya jiji la Dar es Salaam kama ilivyokutwa jana na Mdau Nathan Mpangala. Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Butiama, Bw. Haji Mgaya, alisema, dhahma hiyo ni ya muda mrefu na Manispaa ya Temeke ina taarifa hiyo kwa kupindi chote hivyo,lakini mpaka leo iko kimya tu.  Hapa dereva ‘akilala’ tu, kilio kitongoji kizima zikifuatiwa na salamu za rambirambi nyiiingi toka kwa viongozi. Inawezekana Manispaa ya Temeke haina picha halisi ya hatari...

 

11 years ago

BBCSwahili

Onyo kuhusu mkanyagano DRC

Inaarifiwa mechi ilichezewa katika uwanja usiofaa, na kwamba uwanja haungeweza kuhimili idadi kubwa ya mashabiki waliofika kwa mchuano huo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wengi wafariki katika mkanyagano DRC

Watu kadhaa wameripotiwa kufariki baada ya kutokea mkanyagano katika tamasha la kumkumbuka mwanamuziki maarufu wa Congo King Kester Emeneya.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mkanyagano watokea katika kivuko Kenya

Mkanyagano umetokea katika kivukio cha Ferry katika eneo la Likoni huko Mombasa Kenya na kusababisha mamia ya watu kujeruhiwa.

 

9 years ago

BBCSwahili

Hujaji asimulia mkanyagano ulivyotokea Mecca

Mwandishi wa BBC Hausa Tchima Illa Issoufou alikuwa Mina mkanyagano ulipotokea na baadhi ya aliokuwa nao waliangamia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 10 wauawa katika mkanyagano India

Takriban watu 10 wameuawa na wengine 20 kujeruhiwa katika mkanyagano uliofanyika katika hekalu moja katika jimbo la mashariki la Jharkhand nchini India .

 

9 years ago

BBCSwahili

Watu 150 wauawa katika mkanyagano Mecca

Watu 150 waliokuwa wakishiriki sherehe za hija wamefariki kwenye mkanyagano uliotokea katika mji mtakatifu wa Kiislamu wa Mecca, maafisa nchini Saudi Arabia wamesema.

 

9 years ago

Mwananchi

Mamia ya mahujaji wafariki katika mkanyagano Makka

Watu wasiopungua 717 wamekufa, huku wengine 816 wamejeruhiwa leo jirani na mji mtakatifu wa Makka walikokwenda kuhiji ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa moja ya nguzo muhimu katika Imani ya dini ya Kiislamu, maofisa Saudi Arabia wathibitisha.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani