Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hujaji asimulia mkanyagano ulivyotokea Mecca

Mwandishi wa BBC Hausa Tchima Illa Issoufou alikuwa Mina mkanyagano ulipotokea na baadhi ya aliokuwa nao waliangamia.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Hujaji aliye Mecca aelezea hali ilivyo

Sheikh Abou Said Abdallah Chambea kutoka Tanzania ambaye yuko mjini Mecca anasimulia kuhusu hali ilivyo huko.

 

9 years ago

BBCSwahili

Watu 150 wauawa katika mkanyagano Mecca

Watu 150 waliokuwa wakishiriki sherehe za hija wamefariki kwenye mkanyagano uliotokea katika mji mtakatifu wa Kiislamu wa Mecca, maafisa nchini Saudi Arabia wamesema.

 

5 years ago

BBCSwahili

Mkanyagano katika shule ya Kakamega: Wazazi wa wanafunzi walioathirika na mkanyagano Kenya waomboleza

Mazishi ya wanafunzi waliofariki kufuatia mkanyagano katika shule ya msingi ya kakamega nchini Kenya yameanza.

 

11 years ago

BBCSwahili

Onyo kuhusu mkanyagano DRC

Inaarifiwa mechi ilichezewa katika uwanja usiofaa, na kwamba uwanja haungeweza kuhimili idadi kubwa ya mashabiki waliofika kwa mchuano huo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mkanyagano hatari wawaua 11 Zimbabwe

Watu 11 wamefariki katika mkanyagano nchini Zimbabwe baada ya maombi yaliyoongozwa na muhibiri Walter Magaya katika uwanja wa soka.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mkanyagano watokea katika kivuko Kenya

Mkanyagano umetokea katika kivukio cha Ferry katika eneo la Likoni huko Mombasa Kenya na kusababisha mamia ya watu kujeruhiwa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wengi wafariki katika mkanyagano DRC

Watu kadhaa wameripotiwa kufariki baada ya kutokea mkanyagano katika tamasha la kumkumbuka mwanamuziki maarufu wa Congo King Kester Emeneya.

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 10 wauawa katika mkanyagano India

Takriban watu 10 wameuawa na wengine 20 kujeruhiwa katika mkanyagano uliofanyika katika hekalu moja katika jimbo la mashariki la Jharkhand nchini India .

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani