Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watu 150 wauawa katika mkanyagano Mecca

Watu 150 waliokuwa wakishiriki sherehe za hija wamefariki kwenye mkanyagano uliotokea katika mji mtakatifu wa Kiislamu wa Mecca, maafisa nchini Saudi Arabia wamesema.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Watu 10 wauawa katika mkanyagano India

Takriban watu 10 wameuawa na wengine 20 kujeruhiwa katika mkanyagano uliofanyika katika hekalu moja katika jimbo la mashariki la Jharkhand nchini India .

 

9 years ago

GPL

WATU ZAIDI YA 150 WAUAWA KATIKA MASHAMBULIZI PARIS, UFARANSA

Mauaji katika mghahawa wa Rue Bichat, Paris Gari la huduma ya kwanza. Walionusulika katika shambulizi lililofamyika kwenye ukumbi wa Batclan. ...Wakiokolewa. Miili ya marehemu wa mashambulizi hayo. Hali ya sintofahamu mjini paris.…

 

9 years ago

BBCSwahili

Hujaji asimulia mkanyagano ulivyotokea Mecca

Mwandishi wa BBC Hausa Tchima Illa Issoufou alikuwa Mina mkanyagano ulipotokea na baadhi ya aliokuwa nao waliangamia.

 

5 years ago

BBCSwahili

Mkanyagano katika shule ya Kakamega: Wazazi wa wanafunzi walioathirika na mkanyagano Kenya waomboleza

Mazishi ya wanafunzi waliofariki kufuatia mkanyagano katika shule ya msingi ya kakamega nchini Kenya yameanza.

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 3 wauawa katika vita Somalia

Mapigano kati ya vikosi vya serikali na wanamgambo katikati ya Somali yamesababisha vifo vya watu watatu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 11 wauawa katika shambulio Ufaransa

Watu 11 wamepoteza maisha baada ya kushambuliwa katika Ofisi ya Gazeti jijini Paris nchini Ufaransa

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 2 wauawa katika maandamano Burundi

Takriban watu wawili wameuawa wakati wa ghasia kati ya polisi na waandamanaji kwenye mji mkuu wa Burundi Bujumbura .

 

9 years ago

BBCSwahili

Watu 3 wauawa katika shambulio Colorado

Watu 3 wameuawa baada ya kupigwa risasi na mtu mmoja aliyevamia kituo cha kupanga uzazi katika eneo la Colorado Springs nchini Marekani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 5 wauawa katika klabu ya burudani

Watu watano wameuawa kwenye shambulizi la kigaidi kwenye klabu ya burudani katika mji mkuu wa Mali Bamako.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani