Watu 5 wauawa katika klabu ya burudani
Watu watano wameuawa kwenye shambulizi la kigaidi kwenye klabu ya burudani katika mji mkuu wa Mali Bamako.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV05 May
Watu 3 wauawa katika maandamano Burundi.
Takriban watu wawili wameuawa wakati wa ghasia kati ya polisi na waandamanaji kwenye mji mkuu wa Burundi Bujumbura .
Polisi walifyatua risasi huku waandamanaji wakirusha mawe na guruneti.
Ghasia Burundi
Polisi wawili na waandamanaji sita nao walijeruhiwa.
Waandamanaji hao wanalalamikia hatua ya rais Pierre Nkurunziza ya kuwania urais kwa muhula wa tatu.
viagra online pharmacy in australia BBC
11 years ago
BBCSwahili20 May
Watu 46 wauawa katika mlipuko Nigeria
9 years ago
BBCSwahili21 Sep
Watu 54 wauawa katika milipuko Nigeria
10 years ago
BBCSwahili13 Dec
Watu 3 wauawa katika vita Somalia
10 years ago
BBCSwahili07 Jan
Watu 11 wauawa katika shambulio Ufaransa
10 years ago
BBCSwahili07 Nov
Watu 10 wauawa katika mlipuko Nigeria
9 years ago
GPLWATU 20 WAUAWA KATIKA MAPIGANO BANGUI
11 years ago
Habarileo07 Jul
Watu 29 wauawa katika mashambulizi Kenya
WATU wenye silaha wameua watu 29 katika mashambulizi mawili tofauti eneo la Pwani ya Kenya.
11 years ago
BBCSwahili14 Apr
Watu 70 wauawa katika milipuko Nigeria