Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanajeshi waasi warejea kazini CAR

Wengi walioasi walikuwa Wakristo waliohofia kushambuliwa na wenzao waisilamu baada ya mapinduzi yaliyoongozwa na waasi wa Seleka.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Wafanyakazi Tazara warejea kazini

WAFANYAKAZI wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (Tazara), jana walirudi kazini baada ya mgomo wa takribani wiki mbili. Hatua hiyo imekuja baada ya uongozi wa Tazara kuwafungulia kesi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wafanyakazi Strabag warejea kazini

WAFANYAKAZI wa Kampuni ya Ujenzi wa Barabara ya Mradi wa Mabasi yaendayo Haraka  ya Strabag (BRT) waliokuwa wamegoma kwa siku nane  mfululizo, wametii  agizo la Menejimenti ya kampuni hiyo na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wafanyakazi warejea kazini Hong Kong

Wafanyakazi wa umma katika eneo la Hong Kong wamerejea kazini pamoja na kuendelea kwa maandamano zaidi ya wiki moja sasa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wa Pakistan wawavamia waasi

Maafisa kazkazini Magharibi mwa Pakistan wamesema kuwa ndege za kijeshi za serikali zimefanya mashambulizi ya angani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Waasi wapambana na wanajeshi Yemen

Serikali ya Yemen imeafikia makubaliano na kundi la waasi wa Houthi baada ya masaa kadha ya mapigano makali kwenye ikulu ya rais.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wawaua waasi waliojisalimisha

Wakaazi nchini Burundi wameiambia BBC kwamba walishuhudia wanajeshi wa serikali wakiwaua waasi waliojisalimisha.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wa UN wapambana na waasi DRC

Wanajeshi wa UN wameanza kupambana na waasi wa Kihutu kutoka Rwanda pamoja na makundi mengine ya waasi Mashariki mwa DRC

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi waasi jeshi Sudan Kusini

Kinara wa serikali Tulklio Odongi aliambia bunge siku ya Jumatatu kuwa hadi 70% ya wanajeshi wa serikali wanageuka na kuwa watiifu kwa Riek Machar pamoja na kuasi jeshi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Waasi wapokonywa silaha CAR

Wanajeshi wa Ufaransa, wanatarajiwa kuanza kuwapokonya silaha wapiganaji katika Jamhuri ya Afrika ya Kati kwa kutumia nguvu

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani