Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wafanyakazi warejea kazini Hong Kong

Wafanyakazi wa umma katika eneo la Hong Kong wamerejea kazini pamoja na kuendelea kwa maandamano zaidi ya wiki moja sasa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Wafanyakazi Strabag warejea kazini

WAFANYAKAZI wa Kampuni ya Ujenzi wa Barabara ya Mradi wa Mabasi yaendayo Haraka  ya Strabag (BRT) waliokuwa wamegoma kwa siku nane  mfululizo, wametii  agizo la Menejimenti ya kampuni hiyo na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wafanyakazi Tazara warejea kazini

WAFANYAKAZI wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (Tazara), jana walirudi kazini baada ya mgomo wa takribani wiki mbili. Hatua hiyo imekuja baada ya uongozi wa Tazara kuwafungulia kesi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Hong Kong na utata wa uchaguzi

Serikali ya Hong Kong imetangaza mapendekezo kukusu kuchaguliwa kwa kiongozi wa eneo hilo mwaka 2017.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wandamanaji wakesha Hong Kong

Mamia ya waandamanaj wa Hong Kong wamezingirwa na Askari polisi wanaowataka kusitisha maandamano.

 

10 years ago

BBCSwahili

Hong Kong si shwari tena

Waandamanaji nchini Hong Kong wame zusha rabsha baina yao na polisi wakati hali ya amani bado ni tete wiki tatu sasa

 

10 years ago

BBCSwahili

Hong Kong yapinga mapendekezo ya Uchina

Ingawa kutupiliwa mbali kwa mapendekezo ya serikali kuu ya Uchina kulitarajiwa huko Hong Kong utaratibu uliofuatwa uliwashangaza wengi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Hong Kong bado hali tete

mamia ya waandamanaji wa Hong Kong wanaendelea na maandamano kwa siku ya nne na kudhoofisha maeneo muhimu ya jiji hilo .

 

10 years ago

BBCSwahili

Hong Kong yatakiwa kujali Demokrasia

Raia wa Hong Kong nchini China wametakiwa kuunga mkono mapendekezo ya serikali kuhusiana na mabadiliko ya serikali

 

10 years ago

BBCSwahili

Mkuu wa Hong Kong awapuuza waandamanaji

Mkuu wa eneo la Hong Kong amepuuza wito wa waandamanaji kuwa ajiuzulu .

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani