Wandamanaji wakesha Hong Kong
Mamia ya waandamanaj wa Hong Kong wamezingirwa na Askari polisi wanaowataka kusitisha maandamano.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili15 Oct
Hong Kong si shwari tena
10 years ago
BBCSwahili22 Apr
Hong Kong na utata wa uchaguzi
10 years ago
StarTV03 Oct
Wanafunzi Hong Kong kukutana na serikali
Viongozi wa wanafunzi huko Hong Kong wamekubali kukutana na upande wa serikali kujadili malalamiko yao siku tano baada ya maandamano makubwa ya kupigania demokrasia.
Hiyo inafuatia mwaliko kutoka kwa mkuu wa utawala wa Hong Kong CY Leung. Alitoa taarifa hiyo muda mfupi kabla ya kumalizika kwa muda wa mwisho uliowekwa na wanafunzi hao waliotishia kuvamia majengo ya serikali iwapo mkuu huyo hatajiuzulu.
Muda wa mwisho uliowekwa na wanafunzi hao umemalizika salama.
Bwana Leung amesema...
10 years ago
BBCSwahili18 Oct
Hong Kong:Serikali kufanya mazungumzo
10 years ago
BBCSwahili06 Oct
Wafanyakazi warejea kazini Hong Kong
10 years ago
BBCSwahili10 Oct
Maandaamano bado Hong kong :Wanafunzi
10 years ago
BBCSwahili10 Oct
Suluhu mgogoro Hong Kong mashakani
10 years ago
BBCSwahili18 Jun
Hong Kong yapinga mapendekezo ya Uchina
10 years ago
BBCSwahili21 Oct
Waandamanaji,Serikali kukutana:Hong Kong