Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wandamanaji wakesha Hong Kong

Mamia ya waandamanaj wa Hong Kong wamezingirwa na Askari polisi wanaowataka kusitisha maandamano.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Hong Kong si shwari tena

Waandamanaji nchini Hong Kong wame zusha rabsha baina yao na polisi wakati hali ya amani bado ni tete wiki tatu sasa

 

10 years ago

BBCSwahili

Hong Kong na utata wa uchaguzi

Serikali ya Hong Kong imetangaza mapendekezo kukusu kuchaguliwa kwa kiongozi wa eneo hilo mwaka 2017.

 

10 years ago

StarTV

Wanafunzi Hong Kong kukutana na serikali

Viongozi wa wanafunzi huko Hong Kong wamekubali kukutana na upande wa serikali kujadili malalamiko yao siku tano baada ya maandamano makubwa ya kupigania demokrasia.

Hiyo inafuatia mwaliko kutoka kwa mkuu wa utawala wa Hong Kong CY Leung. Alitoa taarifa hiyo muda mfupi kabla ya kumalizika kwa muda wa mwisho uliowekwa na wanafunzi hao waliotishia kuvamia majengo ya serikali iwapo mkuu huyo hatajiuzulu.

Muda wa mwisho uliowekwa na wanafunzi hao umemalizika salama.

Bwana Leung amesema...

 

10 years ago

BBCSwahili

Hong Kong:Serikali kufanya mazungumzo

Mkurugenzi mkuu wa mji wa Hong Kong Carrie Lam ametangaza kuwa serikali itafanya mazungumzo nawaandamanaji

 

10 years ago

BBCSwahili

Wafanyakazi warejea kazini Hong Kong

Wafanyakazi wa umma katika eneo la Hong Kong wamerejea kazini pamoja na kuendelea kwa maandamano zaidi ya wiki moja sasa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Maandaamano bado Hong kong :Wanafunzi

Hong Kong imeitisha mazungumzo maalumu na viongozi wa wanafunzi wanaoongoza maandamano.

 

10 years ago

BBCSwahili

Suluhu mgogoro Hong Kong mashakani

Wanafunzi Hong Kong wanalaumiwa kwa kuvunjika kwa mazungumzo kati yao na serikali

 

10 years ago

BBCSwahili

Hong Kong yapinga mapendekezo ya Uchina

Ingawa kutupiliwa mbali kwa mapendekezo ya serikali kuu ya Uchina kulitarajiwa huko Hong Kong utaratibu uliofuatwa uliwashangaza wengi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Waandamanaji,Serikali kukutana:Hong Kong

Wanafunzi wanaoongoza mgomo kwa zaidi ya wiki tatu Hong Kong leo wanatarajiwa kukutana na uongozi wa serikali kwa majadiliano

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani