Wanafunzi Hong Kong kukutana na serikali
Viongozi wa wanafunzi huko Hong Kong wamekubali kukutana na upande wa serikali kujadili malalamiko yao siku tano baada ya maandamano makubwa ya kupigania demokrasia.
Hiyo inafuatia mwaliko kutoka kwa mkuu wa utawala wa Hong Kong CY Leung. Alitoa taarifa hiyo muda mfupi kabla ya kumalizika kwa muda wa mwisho uliowekwa na wanafunzi hao waliotishia kuvamia majengo ya serikali iwapo mkuu huyo hatajiuzulu.
Muda wa mwisho uliowekwa na wanafunzi hao umemalizika salama.
Bwana Leung amesema...
StarTV
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili21 Oct
Waandamanaji,Serikali kukutana:Hong Kong
11 years ago
BBCSwahili03 Oct
Wanafunzi Hong K. kukutana na serikali
11 years ago
BBCSwahili10 Oct
Maandaamano bado Hong kong :Wanafunzi
11 years ago
BBCSwahili01 Oct
Wanafunzi Hong Kong na maandamano zaidi
11 years ago
BBCSwahili18 Oct
Hong Kong:Serikali kufanya mazungumzo
10 years ago
BBCSwahili01 Dec
Waandamanaji wavamia ofisi wa serikali Hong Kong
5 years ago
CCM Blog
SERIKALI ZA KIGENI ZALAANI KUKAMATWA WANAHARAKATI WA DEMOKRASIA HONG KONG

Miongoni mwa waliokamatwa ni wanasiasa wakongwe, tajiri wa vyombo vya habari na wanasheria waandamizi. Chama cha Kimataifa cha Wanasheria kimesema maafisa wa Hong Kong hawapaswi kukiuka haki za binaadamu na mfumo wa kisheria lazima uweke ulinzi dhidi ya ukiukaji wowote wa mamlaka wakati ulimwengu...
11 years ago
BBCSwahili29 Sep
Wandamanaji wakesha Hong Kong
11 years ago
BBCSwahili15 Oct
Hong Kong si shwari tena