SERIKALI ZA KIGENI ZALAANI KUKAMATWA WANAHARAKATI WA DEMOKRASIA HONG KONG
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZXGkxxLaW3I/Xp0ehfp03tI/AAAAAAAAS44/c21CLBa2VpQIKe7EUthsP5BstHvgBHcfQCLcBGAsYHQ/s72-c/49227218_303.jpg)
Serikali za kigeni zimekosoa kukamatwa kwa wanaharakati 15 wa Hong Kong wanaopigania demokrasia na ambao wanatuhumiwa kwa kupanga na kushiriki katika maandamano ya kuipinga serikali mwaka jana.
Miongoni mwa waliokamatwa ni wanasiasa wakongwe, tajiri wa vyombo vya habari na wanasheria waandamizi. Chama cha Kimataifa cha Wanasheria kimesema maafisa wa Hong Kong hawapaswi kukiuka haki za binaadamu na mfumo wa kisheria lazima uweke ulinzi dhidi ya ukiukaji wowote wa mamlaka wakati ulimwengu...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili01 Oct
Hong Kong yatakiwa kujali Demokrasia
10 years ago
Vijimambo19 Feb
Alichokisema Wabogojo baada ya kukamatwa na askari Hong Kong akizaniwa kubeba madawa ya kulevya.
![](http://photos-c.ak.instagram.com/hphotos-ak-xfa1/t51.2885-15/10899350_326619470875218_2060138604_n.jpg)
10 years ago
Michuzi12 Jan
Padri John Wotherspoon atembelea tanzania kuonana na familia za walio magerezani kwa kukamatwa na mihadarati hong kong
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/M6qLEO6gkCTaWEFXFzfRJY_MOsGrMejnN_33Oq_kGg9ILHJcPsAqdHwB5N2pQeY68WRPW06JdenjbRTFWXshba36Jm4mxyDkr54Em05wxBCDJc0g6Jq1LchIgbHRZoNAAKum3UKGHAwJpA4E9-09pTuZqMKM2Lp4UeLbAELGT1skewGty48JOThlH_ikMkOvPxQ-9rfp6ULfqpAID1ste2Rk3lWL2v10D2J05ACr69VQXwfOQjThmf8vmhii3CgmUf0=s0-d-e1-ft#http://api.ning.com/files/0uMX6j0VBUm35*9jc0J5o2SLNY6x1LeehXsbBYtXFsRMcUvN-dLdzuMs6NilzhA6l9Eqg13lScJ7UYXoHbcpqWbbdklokrmM/91224ef4a4592820e852201fe942373b_0.jpg?width=640)
Padri John Wotherspoon anayechapisha barua mbalimbali za wafungwa wa Kitanzania waliofungwa katika magereza ya Hong Kong baada ya kukamatwa na dawa za kulevya anafanya ziara nchini Tanzania kutembelea familia za wafungwa hao. Padri Wotherspoon alianza ziara yake mwishoni mwa mwaka jana na anaendelea na ziara ya kutembelea familia hizo hadi hivi sasa.
John Wotherspoon...
10 years ago
StarTV03 Oct
Wanafunzi Hong Kong kukutana na serikali
Viongozi wa wanafunzi huko Hong Kong wamekubali kukutana na upande wa serikali kujadili malalamiko yao siku tano baada ya maandamano makubwa ya kupigania demokrasia.
Hiyo inafuatia mwaliko kutoka kwa mkuu wa utawala wa Hong Kong CY Leung. Alitoa taarifa hiyo muda mfupi kabla ya kumalizika kwa muda wa mwisho uliowekwa na wanafunzi hao waliotishia kuvamia majengo ya serikali iwapo mkuu huyo hatajiuzulu.
Muda wa mwisho uliowekwa na wanafunzi hao umemalizika salama.
Bwana Leung amesema...
10 years ago
BBCSwahili21 Oct
Waandamanaji,Serikali kukutana:Hong Kong
10 years ago
BBCSwahili18 Oct
Hong Kong:Serikali kufanya mazungumzo
10 years ago
BBCSwahili01 Dec
Waandamanaji wavamia ofisi wa serikali Hong Kong
10 years ago
BBCSwahili15 Oct
Hong Kong si shwari tena
10 years ago
BBCSwahili29 Sep
Wandamanaji wakesha Hong Kong