Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hong Kong yatakiwa kujali Demokrasia

Raia wa Hong Kong nchini China wametakiwa kuunga mkono mapendekezo ya serikali kuhusiana na mabadiliko ya serikali

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

SERIKALI ZA KIGENI ZALAANI KUKAMATWA WANAHARAKATI WA DEMOKRASIA HONG KONG

  Serikali za kigeni zimekosoa kukamatwa kwa wanaharakati 15 wa Hong Kong wanaopigania demokrasia na ambao wanatuhumiwa kwa kupanga na kushiriki katika maandamano ya kuipinga serikali mwaka jana.
Miongoni mwa waliokamatwa ni wanasiasa wakongwe, tajiri wa vyombo vya habari na wanasheria waandamizi. Chama cha Kimataifa cha Wanasheria kimesema maafisa wa Hong Kong hawapaswi kukiuka haki za binaadamu na mfumo wa kisheria lazima uweke ulinzi dhidi ya ukiukaji wowote wa mamlaka wakati ulimwengu...

 

10 years ago

BBCSwahili

Hong Kong si shwari tena

Waandamanaji nchini Hong Kong wame zusha rabsha baina yao na polisi wakati hali ya amani bado ni tete wiki tatu sasa

 

10 years ago

BBCSwahili

Hong Kong na utata wa uchaguzi

Serikali ya Hong Kong imetangaza mapendekezo kukusu kuchaguliwa kwa kiongozi wa eneo hilo mwaka 2017.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wandamanaji wakesha Hong Kong

Mamia ya waandamanaj wa Hong Kong wamezingirwa na Askari polisi wanaowataka kusitisha maandamano.

 

10 years ago

BBCSwahili

Suluhu mgogoro Hong Kong mashakani

Wanafunzi Hong Kong wanalaumiwa kwa kuvunjika kwa mazungumzo kati yao na serikali

 

10 years ago

BBCSwahili

Maandaamano bado Hong kong :Wanafunzi

Hong Kong imeitisha mazungumzo maalumu na viongozi wa wanafunzi wanaoongoza maandamano.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wafanyakazi warejea kazini Hong Kong

Wafanyakazi wa umma katika eneo la Hong Kong wamerejea kazini pamoja na kuendelea kwa maandamano zaidi ya wiki moja sasa.

 

10 years ago

StarTV

China yaonya mgogoro wa Hong Kong.

Waziri wa mambo ya nje wa China Wang Yi ametoa onyo kali dhidi ya maandamano “yasiyo halali” Hong Kong.

 
Akiwa katika ziara nchini Marekani, Bwana Wang pia alionya kuwa suala la Hong Kong linahusu “mambo ya ndani” ya China.

 
Waziri mwenzake wa mambo ya nje wa Marekani, John Kerry, ameitaka Hong Kong kujizuia na matumizi ya nguvu wakati wa kushughulikia maandamano hayo.

 
Mapema, waandamanaji wanafunzi waliokasirishwa na China kuwateua wagombea wa uchaguzi wa mwaka 2017 waliapa kuendelea na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanafunzi Hong Kong na maandamano zaidi

Wanafunzi kati aeneo la Hong Kong wameahidi kuendeleza maandamano iwapo mkuu wa utawala hatajiuzuru.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani