Hong Kong yatakiwa kujali Demokrasia
Raia wa Hong Kong nchini China wametakiwa kuunga mkono mapendekezo ya serikali kuhusiana na mabadiliko ya serikali
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-ZXGkxxLaW3I/Xp0ehfp03tI/AAAAAAAAS44/c21CLBa2VpQIKe7EUthsP5BstHvgBHcfQCLcBGAsYHQ/s72-c/49227218_303.jpg)
SERIKALI ZA KIGENI ZALAANI KUKAMATWA WANAHARAKATI WA DEMOKRASIA HONG KONG
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZXGkxxLaW3I/Xp0ehfp03tI/AAAAAAAAS44/c21CLBa2VpQIKe7EUthsP5BstHvgBHcfQCLcBGAsYHQ/s400/49227218_303.jpg)
Miongoni mwa waliokamatwa ni wanasiasa wakongwe, tajiri wa vyombo vya habari na wanasheria waandamizi. Chama cha Kimataifa cha Wanasheria kimesema maafisa wa Hong Kong hawapaswi kukiuka haki za binaadamu na mfumo wa kisheria lazima uweke ulinzi dhidi ya ukiukaji wowote wa mamlaka wakati ulimwengu...
10 years ago
BBCSwahili15 Oct
Hong Kong si shwari tena
10 years ago
BBCSwahili22 Apr
Hong Kong na utata wa uchaguzi
10 years ago
BBCSwahili29 Sep
Wandamanaji wakesha Hong Kong
10 years ago
BBCSwahili10 Oct
Suluhu mgogoro Hong Kong mashakani
10 years ago
BBCSwahili10 Oct
Maandaamano bado Hong kong :Wanafunzi
10 years ago
BBCSwahili06 Oct
Wafanyakazi warejea kazini Hong Kong
10 years ago
StarTV02 Oct
China yaonya mgogoro wa Hong Kong.
Waziri wa mambo ya nje wa China Wang Yi ametoa onyo kali dhidi ya maandamano “yasiyo halali” Hong Kong.
Akiwa katika ziara nchini Marekani, Bwana Wang pia alionya kuwa suala la Hong Kong linahusu “mambo ya ndani” ya China.
Waziri mwenzake wa mambo ya nje wa Marekani, John Kerry, ameitaka Hong Kong kujizuia na matumizi ya nguvu wakati wa kushughulikia maandamano hayo.
Mapema, waandamanaji wanafunzi waliokasirishwa na China kuwateua wagombea wa uchaguzi wa mwaka 2017 waliapa kuendelea na...
10 years ago
BBCSwahili01 Oct
Wanafunzi Hong Kong na maandamano zaidi