China yaonya mgogoro wa Hong Kong.
Waziri wa mambo ya nje wa China Wang Yi ametoa onyo kali dhidi ya maandamano “yasiyo halali” Hong Kong.
Akiwa katika ziara nchini Marekani, Bwana Wang pia alionya kuwa suala la Hong Kong linahusu “mambo ya ndani” ya China.
Waziri mwenzake wa mambo ya nje wa Marekani, John Kerry, ameitaka Hong Kong kujizuia na matumizi ya nguvu wakati wa kushughulikia maandamano hayo.
Mapema, waandamanaji wanafunzi waliokasirishwa na China kuwateua wagombea wa uchaguzi wa mwaka 2017 waliapa kuendelea na...
StarTV
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili29 Sep
China yaonya mataifa kutoingilia Hong Kong
11 years ago
BBCSwahili02 Oct
China yatoa onyo mgogoro wa Hong Kong
11 years ago
BBCSwahili10 Oct
Suluhu mgogoro Hong Kong mashakani
5 years ago
Simple Flying10 Mar
Air China In Talks Over Hong Kong Airlines Aid
5 years ago
Simple Flying16 Feb
Lufthansa Group Further Cancels China And Hong Kong Flights
5 years ago
South China Morning Post14 Feb
Hong Kong? No thanks, say fashion brands breaking into mainland China
5 years ago
Business Traveller19 Feb
Coronavirus: Aeroflot reduces flights to mainland China and Hong Kong
5 years ago
Business Traveller17 Feb
Coronavirus: El Al suspends China and Hong Kong flights, cuts Bangkok service
5 years ago
Business Traveller13 Feb
Coronavirus: American Airlines further extends Hong Kong and China flight cancellations