Hong Kong yapinga mapendekezo ya Uchina
Ingawa kutupiliwa mbali kwa mapendekezo ya serikali kuu ya Uchina kulitarajiwa huko Hong Kong utaratibu uliofuatwa uliwashangaza wengi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili31 Aug
Uchina yapinga uchaguzi huru Hong Kong
10 years ago
BBCSwahili28 Sep
Hong Kong:Waandamana kuipinga Uchina
11 years ago
BBCSwahili22 Feb
Uchina yapinga mkutano wa Dalai Lama
10 years ago
BBCSwahili03 Oct
Uchina:Maandamano ya H kong yatafeli
10 years ago
BBCSwahili29 Sep
Wandamanaji wakesha Hong Kong
10 years ago
BBCSwahili22 Apr
Hong Kong na utata wa uchaguzi
10 years ago
BBCSwahili15 Oct
Hong Kong si shwari tena
10 years ago
StarTV02 Oct
China yaonya mgogoro wa Hong Kong.
Waziri wa mambo ya nje wa China Wang Yi ametoa onyo kali dhidi ya maandamano “yasiyo halali” Hong Kong.
Akiwa katika ziara nchini Marekani, Bwana Wang pia alionya kuwa suala la Hong Kong linahusu “mambo ya ndani” ya China.
Waziri mwenzake wa mambo ya nje wa Marekani, John Kerry, ameitaka Hong Kong kujizuia na matumizi ya nguvu wakati wa kushughulikia maandamano hayo.
Mapema, waandamanaji wanafunzi waliokasirishwa na China kuwateua wagombea wa uchaguzi wa mwaka 2017 waliapa kuendelea na...
10 years ago
BBCSwahili01 Oct
Wanafunzi Hong Kong na maandamano zaidi