Uchina:Maandamano ya H kong yatafeli
Viongozi wa Uchina wasema maandamano ya kupigania haki ya kuimarisha demokrasia katika eneo la Hong Kong yataambulia patupu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili28 Sep
Hong Kong:Waandamana kuipinga Uchina
Kiongozi wa vugu vugu la demokrasi mjini Hong Kong amewambia maelfu ya waandamanaji kuwa kampeni kubwa sasa imeanza.
10 years ago
BBCSwahili18 Jun
Hong Kong yapinga mapendekezo ya Uchina
Ingawa kutupiliwa mbali kwa mapendekezo ya serikali kuu ya Uchina kulitarajiwa huko Hong Kong utaratibu uliofuatwa uliwashangaza wengi.
10 years ago
BBCSwahili31 Aug
Uchina yapinga uchaguzi huru Hong Kong
Uchina imepinga uteuzi wa wazi wa kiongozi wa mji wa Hong Kong ifikiapo mwaka 2017.
10 years ago
BBCSwahili22 Sep
Maandamano makubwa yaanza Hong kong
Maelfu ya wanafunzi wameanza mgomo kupinga kanuni za uchaguzi wa kiongozi wa Hong Kong
10 years ago
BBCSwahili28 Oct
Maelfu wakumbuka maandamano Hong Kong
Maelfu ya waandamanaji Hong Kong wamejitokeza kuadhimisha mwezi mmoja wa maandamano.
10 years ago
BBCSwahili01 Oct
Wanafunzi Hong Kong na maandamano zaidi
Wanafunzi kati aeneo la Hong Kong wameahidi kuendeleza maandamano iwapo mkuu wa utawala hatajiuzuru.
10 years ago
BBCSwahili18 Jul
Marekebisho ya Ugiriki 'yatafeli'
Harakati za kulikwamua taifa la Ugiriki katika madeni yake zimekosolewa na mawaziri ambao wamefutwa kazi kwa kupinga mpango huo.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-MutXCvJoyvI/VNIzKNk7lZI/AAAAAAAHBrk/wVlaEEYxUc0/s72-c/DSC_1394.jpg)
KAMANDA KOVA APIGA ‘STOP’ MAANDAMANO YA UVCCM ILALA,MAANDAMANO YA BAVICHA YAACHWA KIPORO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-MutXCvJoyvI/VNIzKNk7lZI/AAAAAAAHBrk/wVlaEEYxUc0/s1600/DSC_1394.jpg)
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam imezuia maandamano ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Wilaya Ilala (UVCCM) ya kuadhimisha miaka 38 ya kuzaliwa kwa chama hicho pamoja na kuacha kiporo maandamano ya Baraza la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha).
Akizungumza leo na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam ,Kamishina wa Jeshi la Polisi ,Suleiman Kova ,amesema kuzuia kwa maandamano...
9 years ago
BBCSwahili11 Dec
Mauzo ya hisa yayumba Uchina
Mauzo ya hisa katika soko la Hong kong nchini Uchina yametatizika baada ya taarifa ya kutoweka kwa mmiliki wa kampuni kubwa ya uwekezaji
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania