Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uchina:Maandamano ya H kong yatafeli

Viongozi wa Uchina wasema maandamano ya kupigania haki ya kuimarisha demokrasia katika eneo la Hong Kong yataambulia patupu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Hong Kong:Waandamana kuipinga Uchina

Kiongozi wa vugu vugu la demokrasi mjini Hong Kong amewambia maelfu ya waandamanaji kuwa kampeni kubwa sasa imeanza.

 

10 years ago

BBCSwahili

Hong Kong yapinga mapendekezo ya Uchina

Ingawa kutupiliwa mbali kwa mapendekezo ya serikali kuu ya Uchina kulitarajiwa huko Hong Kong utaratibu uliofuatwa uliwashangaza wengi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Uchina yapinga uchaguzi huru Hong Kong

Uchina imepinga uteuzi wa wazi wa kiongozi wa mji wa Hong Kong ifikiapo mwaka 2017.

 

10 years ago

BBCSwahili

Maandamano makubwa yaanza Hong kong

Maelfu ya wanafunzi wameanza mgomo kupinga kanuni za uchaguzi wa kiongozi wa Hong Kong

 

10 years ago

BBCSwahili

Maelfu wakumbuka maandamano Hong Kong

Maelfu ya waandamanaji Hong Kong wamejitokeza kuadhimisha mwezi mmoja wa maandamano.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanafunzi Hong Kong na maandamano zaidi

Wanafunzi kati aeneo la Hong Kong wameahidi kuendeleza maandamano iwapo mkuu wa utawala hatajiuzuru.

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekebisho ya Ugiriki 'yatafeli'

Harakati za kulikwamua taifa la Ugiriki katika madeni yake zimekosolewa na mawaziri ambao wamefutwa kazi kwa kupinga mpango huo.

 

10 years ago

Michuzi

KAMANDA KOVA APIGA ‘STOP’ MAANDAMANO YA UVCCM ILALA,MAANDAMANO YA BAVICHA YAACHWA KIPORO.

 Na Chalila Kibuda ,Globu ya Jamii
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam imezuia maandamano ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Wilaya Ilala (UVCCM) ya kuadhimisha miaka 38 ya kuzaliwa kwa chama hicho pamoja na kuacha kiporo  maandamano ya Baraza la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha).


Akizungumza leo na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam ,Kamishina wa Jeshi la Polisi ,Suleiman Kova ,amesema kuzuia kwa maandamano...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mauzo ya hisa yayumba Uchina

Mauzo ya hisa katika soko la Hong kong nchini Uchina yametatizika baada ya taarifa ya kutoweka kwa mmiliki wa kampuni kubwa ya uwekezaji

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani