Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maelfu wakumbuka maandamano Hong Kong

Maelfu ya waandamanaji Hong Kong wamejitokeza kuadhimisha mwezi mmoja wa maandamano.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Maandamano makubwa yaanza Hong kong

Maelfu ya wanafunzi wameanza mgomo kupinga kanuni za uchaguzi wa kiongozi wa Hong Kong

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanafunzi Hong Kong na maandamano zaidi

Wanafunzi kati aeneo la Hong Kong wameahidi kuendeleza maandamano iwapo mkuu wa utawala hatajiuzuru.

 

10 years ago

BBCSwahili

Hong Kong na utata wa uchaguzi

Serikali ya Hong Kong imetangaza mapendekezo kukusu kuchaguliwa kwa kiongozi wa eneo hilo mwaka 2017.

 

10 years ago

BBCSwahili

Hong Kong si shwari tena

Waandamanaji nchini Hong Kong wame zusha rabsha baina yao na polisi wakati hali ya amani bado ni tete wiki tatu sasa

 

10 years ago

BBCSwahili

Wandamanaji wakesha Hong Kong

Mamia ya waandamanaj wa Hong Kong wamezingirwa na Askari polisi wanaowataka kusitisha maandamano.

 

10 years ago

BBCSwahili

Hong Kong yatakiwa kujali Demokrasia

Raia wa Hong Kong nchini China wametakiwa kuunga mkono mapendekezo ya serikali kuhusiana na mabadiliko ya serikali

 

10 years ago

StarTV

China yaonya mgogoro wa Hong Kong.

Waziri wa mambo ya nje wa China Wang Yi ametoa onyo kali dhidi ya maandamano “yasiyo halali” Hong Kong.

 
Akiwa katika ziara nchini Marekani, Bwana Wang pia alionya kuwa suala la Hong Kong linahusu “mambo ya ndani” ya China.

 
Waziri mwenzake wa mambo ya nje wa Marekani, John Kerry, ameitaka Hong Kong kujizuia na matumizi ya nguvu wakati wa kushughulikia maandamano hayo.

 
Mapema, waandamanaji wanafunzi waliokasirishwa na China kuwateua wagombea wa uchaguzi wa mwaka 2017 waliapa kuendelea na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wabunge waomba msamaha Hong Kong

Kundi la Wabunge wa Hong Kong wamenunua nafasi katika magazeti ya eneo hilo na kuwaomba wapiga kura msamaha kwa kukosa kuwepo wakati kura muhimu ya kuamua hatma ya kidemokrasia ya eneo hilo

 

10 years ago

BBCSwahili

Polisi,waandamanaji wapambana Hong Kong

Polisi na waandamanaji wanaodai demokrasia wamepambana mjini Hong Kong katika eneo linalozunguka makao makuu ya serikali.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani