Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wabunge waomba msamaha Hong Kong

Kundi la Wabunge wa Hong Kong wamenunua nafasi katika magazeti ya eneo hilo na kuwaomba wapiga kura msamaha kwa kukosa kuwepo wakati kura muhimu ya kuamua hatma ya kidemokrasia ya eneo hilo

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Hong Kong na utata wa uchaguzi

Serikali ya Hong Kong imetangaza mapendekezo kukusu kuchaguliwa kwa kiongozi wa eneo hilo mwaka 2017.

 

11 years ago

BBCSwahili

Hong Kong si shwari tena

Waandamanaji nchini Hong Kong wame zusha rabsha baina yao na polisi wakati hali ya amani bado ni tete wiki tatu sasa

 

11 years ago

BBCSwahili

Wandamanaji wakesha Hong Kong

Mamia ya waandamanaj wa Hong Kong wamezingirwa na Askari polisi wanaowataka kusitisha maandamano.

 

11 years ago

BBCSwahili

Hong Kong bado hali tete

mamia ya waandamanaji wa Hong Kong wanaendelea na maandamano kwa siku ya nne na kudhoofisha maeneo muhimu ya jiji hilo .

 

11 years ago

BBCSwahili

Maelfu wakumbuka maandamano Hong Kong

Maelfu ya waandamanaji Hong Kong wamejitokeza kuadhimisha mwezi mmoja wa maandamano.

 

11 years ago

StarTV

Wanafunzi Hong Kong kukutana na serikali

Viongozi wa wanafunzi huko Hong Kong wamekubali kukutana na upande wa serikali kujadili malalamiko yao siku tano baada ya maandamano makubwa ya kupigania demokrasia.

Hiyo inafuatia mwaliko kutoka kwa mkuu wa utawala wa Hong Kong CY Leung. Alitoa taarifa hiyo muda mfupi kabla ya kumalizika kwa muda wa mwisho uliowekwa na wanafunzi hao waliotishia kuvamia majengo ya serikali iwapo mkuu huyo hatajiuzulu.

Muda wa mwisho uliowekwa na wanafunzi hao umemalizika salama.

Bwana Leung amesema...

 

10 years ago

BBCSwahili

Watanzania wengi wafungwa Hong Kong

Kasisi raia wa Australia amethibitisha kuwa idadi kubwa ya wafungwa wenye asili ya Afrika wamefungwa Hong Kong, wengi wao ni kutoka Tanzania.

 

11 years ago

StarTV

China yaonya mgogoro wa Hong Kong.

Waziri wa mambo ya nje wa China Wang Yi ametoa onyo kali dhidi ya maandamano “yasiyo halali” Hong Kong.

 
Akiwa katika ziara nchini Marekani, Bwana Wang pia alionya kuwa suala la Hong Kong linahusu “mambo ya ndani” ya China.

 
Waziri mwenzake wa mambo ya nje wa Marekani, John Kerry, ameitaka Hong Kong kujizuia na matumizi ya nguvu wakati wa kushughulikia maandamano hayo.

 
Mapema, waandamanaji wanafunzi waliokasirishwa na China kuwateua wagombea wa uchaguzi wa mwaka 2017 waliapa kuendelea na...

 

11 years ago

BBCSwahili

Hong Kong:Waandamana kuipinga Uchina

Kiongozi wa vugu vugu la demokrasi mjini Hong Kong amewambia maelfu ya waandamanaji kuwa kampeni kubwa sasa imeanza.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani