Watu 12 wamenyongwa Pakistan
Pakistan imewanyonga watu 12 kutoka magereza tofauti kote nchini saa chache tu tangu amri ya kurejesha hukumu ya kifo kuidhinishwa
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili03 Nov
Watu 50 wauawa Pakistan
Zaidi ya watu 50 wameuawa na wengine 100 kujeruhiwa katika bomu la kujitoa muhanga huko Pakistan mpakani na India
10 years ago
BBCSwahili23 Jun
Joto kali lawaua watu 700 Pakistan
Waziri mkuu nchini Pakistan Nawaz Sharrif ametaka hatua za dharura kuchukuliwa huku idadi ya watu waliofariki kutokana na joto katika mkoa wa kusini wa Sindh ikifikia 700.
10 years ago
Mwananchi08 Sep
Mafuriko yaua watu 250 India, Pakistan
Watu zaidi ya 250 wamefariki dunia nchini India, Pakistan na China baada ya kusombwa na maji yaliosababishwa na mvua kubwa katika nchi hizo.
10 years ago
BBCSwahili24 Jun
Joto kali lawaua watu 800 Pakistan
Takriban watu 800 wamefariki nchini Pakistan kutokana na joto kali.Tayari maeneo ya kuhifadhi wafu yamejaa.
5 years ago
CCM Blog22 May
NDEGE YAANGUKA KATIKA MENEO LA MAKAZI YA WATU PAKISTAN
![Rescue workers gather at the site after a Pakistan International Airlines flight crashed in a residential neighbourhood](https://ichef.bbci.co.uk/news/660/cpsprodpb/A8E9/production/_112414234_061583193-1.jpg)
11 years ago
Mwananchi19 Apr
Ndugu wanaokula maiti za watu wakamatwa tena Pakistan
>Watu wawili wanaotuhumiwa kula nyama za binadamu wamekamatwa baada ya kichwa cha mtoto wa miaka mitatu, kukutwa katika nyumba wanayoishi nchini Pakistan.
5 years ago
BBCSwahili22 May
Ndege ya yaanguka katika eneo la makazi ya watu Pakistan
Ndege hiyo aina ya PIA jet ilianguka katika eneo la makazi ya watu ilipokua ikisafiri kutoka mji wa Lahore, ikiwa na jumla ya watu 100 ndani yake.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sMzwNc2e83vy-hoh1svmlmn03Jdm57kN5tAUIrCndoqh-PRMhnBaZvADW9DROcyy4OtmQi-b5dzo1xx6yHAygDzO-03XJGDr/JOTO3.jpg?width=650)
WATU ZAIDI YA 800 WAPOTEZA MAISHA KWA JOTO KALI PAKISTAN
Mmoja wa majeruhi wa joto nchini Pakistan akipatiwa huduma ya kwanza. WATU zaidi ya 800 wamefariki dunia mpaka sasa kutokana na hali ya joto kali kwenye Mkoa wa Sindh uliopo kusini mwa nchi ya Pakistan. Zaidi ya watu 780 wamefariki huko Karachi huku 30 wakiripotiwa kufariki kutoka sehemu nyingine mkoani humo. Taarifa kutoka katika hospitali kadhaa mkoani humo zimeripoti kuelemewa baada ya mochwari zake kujaa miili hivyo...
11 years ago
Habarileo11 Feb
‘Si kweli Watanzania 160 wamenyongwa China’
WIZARA ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, imekanusha taarifa za uvumi zinaosambazwa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii na vyombo vya habari, kuwa wapo Watanzania wapatao 160 wamenyongwa China kwa kosa la kusafirisha dawa za kulevya.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania