‘Si kweli Watanzania 160 wamenyongwa China’
WIZARA ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, imekanusha taarifa za uvumi zinaosambazwa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii na vyombo vya habari, kuwa wapo Watanzania wapatao 160 wamenyongwa China kwa kosa la kusafirisha dawa za kulevya.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog01 Oct
MAISHA MAGIC BONGO: Imefika mpya kutoka M-NET kuwalenga Watanzania ndani ya DSTV chaneli 160!
Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Multichoice Tanzania, Barbara Kambogi, akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa utambulisho wa Chaneli mpya ya Maisha Magic Bongo ambayo inaanza kuonekana leo Oktoba Mosi kupitia DSTV Chaneli 160, kwa wateja wa DStv. Kushoto ni Afisa Masoko wa Multichoice Tanzania, Furaha Samalu na kulia ni Mwendeshaji Mkuu wa M-NET kwa Afrika Mashariki, Bi Lisa Venter. (Picha zote na Andrew Chale wa modewjiblog).
Afisa Masoko wa Multichoice Tanzania,...
11 years ago
Mwananchi18 Jun
India , China zinaonyesha ushindani wa kweli kibiashara duniani
10 years ago
BBCSwahili17 Mar
Watu 12 wamenyongwa Pakistan
9 years ago
Mzalendo Zanzibar05 Oct
Kweli NEC na ZEC Itaibeba Tena CCM Kwakuiba Kura za Watanzania??
By Daniel Mjema, Mwananchi Taveta, Kenya. Rais Jakaya Kikwete amemweleza Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya kwamba Chama cha Mapinduzi (CCM), kitashinda katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25. Rais Kenyatta kwa upande wake bila kutaja CCM, alisema […]
The post Kweli NEC na ZEC Itaibeba Tena CCM Kwakuiba Kura za Watanzania?? appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Y3xg_cHa0to/VFJNtVZCLNI/AAAAAAAGuQo/Mn7QXQDDVsE/s72-c/10747795_1505818026346063_802299687_n.jpg)
NEWS ALERT: UFAFANUZI WA TAARIFA ZISIZO ZA KWELI KUHUSU UTEUZI WA KONSELI WA HESHIMA JIMBO LA GUANDONG, CHINA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Y3xg_cHa0to/VFJNtVZCLNI/AAAAAAAGuQo/Mn7QXQDDVsE/s1600/10747795_1505818026346063_802299687_n.jpg)
Hivi karibuni kumezuka taarifa za upotoshwaji zilizotolewa kwenye mitandao ya kijamii kwamba Serikali ya Tanzania imemteua Bw. Salaah, Mkurugenzi wa Home Shopping Centre, (pichani ) kuwa Konseli wa Heshima (Honorary Consul) kwenye mji wa Guangzhou kwenye Jimbo la Guandong.
Watoa taarifa hizo, hawakutoa ushahidi wowote kuthibitisha madai yao zaidi ya kutoa picha mbalimbali za Bw.Salaah kutoka kwenye mitandao mingine ya kijamii.
Taarifa hizo sio za kweli. Kwa mujibu wa Sheria na Kanuni za...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-z1IDrlqqm1s/XnpoNemX3NI/AAAAAAALk-Q/zKKHnfauX50hzWqLn6VO-GLFzoagNuPLgCLcBGAsYHQ/s72-c/52205520_303.jpg)
NI KWELI WATANZANIA KUNA CORONA... TUSIKILIZE MAELEKEZO YA VIONGOZI WA SERIKALI, WIZARA YA AFYA KUEPUKA KUENEA KWA MAAMBUKIZI
TUMESHAAMBIWA hakuna sababu ya kutishana kuhusu ugonjwa wa Corona lakini tunahimizwa kuchukua tahadhari kwa kuepuka mikusanyiko isiyo ya lazima na kunawa mikono mara kwa mara.
Asante Rais Dk.John Magufuli kwa maelekezo na maagizo yako kwetu Watanzania katika kipindi hiki ambacho dunia inalia kuhusu Corona.Ugonjwa ambao ulianzia nchini China na kisha kusambaa nchi mbalimbali duniani.
Kwa Tanzania kama zilivyo nchini nyingine duniani nayo imekumbwa na...
11 years ago
BBCSwahili25 Jun
Watanzania kunyongwa China
11 years ago
Habarileo22 Jun
Watanzania kujifunza ufundi China
MJUMBE wa Baraza la Ushauri wa Kisiasa la China (CPPCC), Dk Annie Wu amesema atatoa ufadhili wa nafasi za masomo kwa wanafunzi wa Tanzania kwenda kusoma elimu ya ufundi nchini China.
11 years ago
Mwananchi26 Mar
China haitawanyonga Watanzania - Katibu