Kweli NEC na ZEC Itaibeba Tena CCM Kwakuiba Kura za Watanzania??
By Daniel Mjema, Mwananchi Taveta, Kenya. Rais Jakaya Kikwete amemweleza Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya kwamba Chama cha Mapinduzi (CCM), kitashinda katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25. Rais Kenyatta kwa upande wake bila kutaja CCM, alisema […]
The post Kweli NEC na ZEC Itaibeba Tena CCM Kwakuiba Kura za Watanzania?? appeared first on Mzalendo.net.
Mzalendo Zanzibar
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mzalendo Zanzibar12 Oct
WATANZANIA: Tunaiomba UKAWA Kususia Uchaguzi Iwapo NEC na ZEC itashindwa Kuweka Wazi Daftari la Wapiga Kura.
Nategemea habari hizi zitawafika Wahusika wakuu wa Vyama vya Vinavounda UKAWA.. Kama sisi no Wazalendo ambao Tuna kiu ya Mabadiliko ya Uongozi katika Serikali. Mara hii tumejitokeza Vijana wengi kutafuta Vichinjio ya Kuiondoa Serikali ya CCM […]
The post WATANZANIA: Tunaiomba UKAWA Kususia Uchaguzi Iwapo NEC na ZEC itashindwa Kuweka Wazi Daftari la Wapiga Kura. appeared first on Mzalendo.net.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-DsSJUFIPPtc/Xq7WHqwzv8I/AAAAAAALo84/qnVgaiOfIDI8MHXTwl3Nq28RgETUkwouQCLcBGAsYHQ/s72-c/acastro_200311_3936_coronavirus_0002.0.7.jpg)
WATANZANIA NAOMBA KUANZIA SASA CORONA AWE RAFIKI YETU...KWELI TENA , ASIWE ADUI TENA
![](https://1.bp.blogspot.com/-DsSJUFIPPtc/Xq7WHqwzv8I/AAAAAAALo84/qnVgaiOfIDI8MHXTwl3Nq28RgETUkwouQCLcBGAsYHQ/s640/acastro_200311_3936_coronavirus_0002.0.7.jpg)
Na Said Mwishehe, Michuzi TV
CORONA mambo vipi? Natumai uko salama na unaendelea vema na majukumu yako ya kila siku hapa duniani tangu ulipokuja Desemba mwaka 2019.
Karibu Corona, karibu Duniani, karibu kila unapotaka kuingia. Ndio karibu Corona maana umekuja na malengo yako.
Malengo ya kuua maelfu ya binadamu. Sawa Corona maana ndicho unachoona kwetu sisi.
Dunia inalia tangu ulipokuja na kuanza kuua watu wasio na hatia. Umetutia majonzi makubwa sana, tunalia kwa ajili yako, wengi wamepoteza...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/Op57Wx6ZK5c/default.jpg)
10 years ago
GPL27 Apr
10 years ago
Dewji Blog27 Apr
VIDEO: Sio kweli mikoa tuliyochagua ni ngome ya CCM ni upotoshwaji mkubwa wa wanasiasa — NEC
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Damian Lubuva.
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/WV0F5mhfoGY/default.jpg)
11 years ago
Mwananchi16 Jul
Busara za Watanzania ni kuinyima kura CCM 2015
9 years ago
IPPmedia05 Oct
ZEC urged to borrow leaf from NEC.
IPPmedia
IPPmedia
The Zanzibar Electoral Commission (ZEC) has been urged to issue a statement to the public that it will immediately announce and display the election results of the President, House of Representatives and representatives at the polling centres. Zanzibar ...
9 years ago
TheCitizen28 Oct
Observers query NEC, ZEC transparency