Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Busara za Watanzania ni kuinyima kura CCM 2015

CCM inaendelea kujikaanga kwa mafuta yake yenyewe kwani kila wanachofanya hakiendi vyema kwa sababu ya kutokuwa na nia njema na Watanzania ambao bado ni maskini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Sakata la ardhi Loliondo: Wafugaji sasa watishia kuinyima kura CCM

Mwenyekiti wa Halmashauri ya CCM Wilaya ya Ngorongo, Mkoa wa Arusha, pamoja na madiwani wake wamesema wamechoka kwa vitendo vya usumbufu, unyanyasaji na kuishi maisha yasiyoeleweka kufuatia hatua ya Waziri wa Maliasili na Utalii kutaka kutwaa ardhi yao.

Wamesema malengo hayo ya waziri yakitekelezwa wapo tayari kurudisha kadi zote za CCM na kuwaeleza wananchi wao katu wasiwapigie kura wagombea wote wa chama hicho.

Walisema serikali kupitia Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu,...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Kweli NEC na ZEC Itaibeba Tena CCM Kwakuiba Kura za Watanzania??

By Daniel Mjema, Mwananchi Taveta, Kenya. Rais Jakaya Kikwete amemweleza Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya kwamba Chama cha Mapinduzi (CCM), kitashinda katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25. Rais Kenyatta kwa upande wake bila kutaja CCM, alisema […]

The post Kweli NEC na ZEC Itaibeba Tena CCM Kwakuiba Kura za Watanzania?? appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Mwananchi

Kimaro: Kura za maoni kaburi la CCM 2015

Aliyewahi kuwa mbunge wa Vunjo, Aloyce Kimaro amesema utaratibu wa kura za maoni ndani ya CCM, unaweza kuwa kaburi la chama hicho tawala katika uchaguzi mkuu ujao.

 

10 years ago

Vijimambo

Salamu za Mbunge wa Nzega -CCM Dr. Hamisi Kigwangalla kwa Watanzania , Mwaka Mpya 2015


 Mbunge wa Nzega -CCM Dr Hamisi Kigwangalla-Ni Mwaka Mpya Tena! Dr. Hamisi Kigwangalla, MB.Ndugu Watanzania wenzangu,Kwa heshima na taadhima na kwa moyo wa kiutumishi, najisikia furaha kuwatumia salamu za Mwaka mpya 2015. Kwa hakika Mungu amekuwa mwema sana kwangu na kwako mwaka 2014 kwa namna nyingi mbalimbali, ila kwa kiasi kikubwa kwa kutujalia zawadi ya uhai, mafanikio kwenye kazi zetu, uvumilivu tulipoanguka, nguvu tulipokutana na changamoto mbalimbali, na uwezo wa kupambana nazo...

 

11 years ago

Michuzi

Call for Artists - Sauti za Busara 2015

fROOTS Call for Artists 2015 – Deadline 31 July 2014 
Is your music 100% live? 
Is it connected to Africa? 
Have you always wanted to perform in Zanzibar? Applications are now open for the 12th edition of Sauti za Busara. This is your chance to apply for a spot to perform at the 2015 festival. Our focus has always been on bringing you African music under African skies - this year in addition to the African Continent and its diaspora Sauti za Busara also welcomes applications from the Gulf...

 

10 years ago

Dewji Blog

2015 Sauti za Busara Festival promotes PEACE

31-702x324

Sauti za Busara, aka the friendliest festival on the planet, will share messages for peace and unity during its 12th edition in Zanzibar during February 12 – 15. As always, the festival builds appreciation for the wealth and diversity of music from East Africa and beyond.

The final line-up of confirmed artists includes  Blitz the Ambassador (Ghana / USA),   Alikiba (Tanzania),   Octopizzo and band (Kenya),   Ihhashi Elimhlophe (South Africa),   Tcheka (Cape Verde),   Sarabi (Kenya),  The...

 

10 years ago

Dewji Blog

Sauti za Busara 2015 kufikia tamati leo

#TogetherAsOne #AmaniNdioMpangoMzima

Wasanii kutunukiwa tuzo za amani

Na Andrew Chale, modewji blog, Zanzibar

Tamasha kubwa la Kimataifa la muziki linalofanyika kila mwaka visiwani hapa la Sauti za Busara,  linatarajiwa kufikia tamati usiku wa leo Februari 15 huku zikitarajiwa kutolewa tuzo za amani kwa washindi.

Tamasha hilo kwa mwaka huu ni la 12,  limezidi kuwa la mafanikio kwa kuweza kukusanya umati mkubwa wa mashabiki waliotoka sehemu mbalimbali duniani.

Tamasha hillo lilianza Ahamisi ya Februari 12, kwa shamra shamra...

 

11 years ago

Michuzi

WITO KWA WASANII: Sauti za Busara 2015

Je muziki wako ni wa laivu? Je muziki wako umehusiana na Africa, Uarabuni au nchi za bahari hindi? Je umevutiwa kupiga muziki mwezi ujao wa Februari Zanzibar? Kama unaweza kujibu ndio, ndio, ndio - basi endelea kusoma... MWISHO...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani