WITO KWA WASANII: Sauti za Busara 2015
Je muziki wako ni wa laivu? Je muziki wako umehusiana na Africa, Uarabuni au nchi za bahari hindi? Je umevutiwa kupiga muziki mwezi ujao wa Februari Zanzibar? Kama unaweza kujibu ndio, ndio, ndio - basi endelea kusoma... MWISHO...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima14 Feb
Sauti za Busara liwe darasa kwa wasanii
TAMASHA la Sauti za Busara ambalo hufanyika kila mwaka visiwani hapa ni miongoni mwa matukio makubwa ya muziki Afrika, ambalo hutoa fursa kwa wanamuziki kupiga muziki ‘live’ kwa kutumia jukwaa...
11 years ago
Tanzania Daima10 Jan
Wasanii 200 kushiriki Sauti za Busara 2014
VIKUNDI 32 kutoka ndani na nje ya nchi vimechaguliwa kufanya maonesho ya muziki kwenye tamasha la 11 la Sauti za Busara linalotarajiwa kufanyika viwanja vya kihistoria vya Ngome Kongwe visiwani...
10 years ago
Mwananchi21 Feb
Wasanii wa Tanzania ‘wafunikwa’ Tamasha la Sauti za Busara
11 years ago
Michuzi16 Apr
Call for Artists - Sauti za Busara 2015
![fROOTS](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/zgjBld9THzBhm2PpeO5MdYUMCAuhLyCBH98oKI6mpo7vs08ezH6zS_MNiB0iKIGv_AxnUO1wX12_8UiESm5kmWQywxOYNz50vjyqZRfm1yDmjIasAYrQUhds43k_gm_UQdhxsjuuN09quV-2t7gZVsiBfvX6JA=s0-d-e1-ft#http://busaramusic.org/images/pictures/web/newsletters/SzB2015-Advert-fROOTS-June-2014-EMAIL.gif)
Is your music 100% live?
Is it connected to Africa?
Have you always wanted to perform in Zanzibar? Applications are now open for the 12th edition of Sauti za Busara. This is your chance to apply for a spot to perform at the 2015 festival. Our focus has always been on bringing you African music under African skies - this year in addition to the African Continent and its diaspora Sauti za Busara also welcomes applications from the Gulf...
10 years ago
Dewji Blog08 Jan
2015 Sauti za Busara Festival promotes PEACE
Sauti za Busara, aka the friendliest festival on the planet, will share messages for peace and unity during its 12th edition in Zanzibar during February 12 – 15. As always, the festival builds appreciation for the wealth and diversity of music from East Africa and beyond.
The final line-up of confirmed artists includes Blitz the Ambassador (Ghana / USA), Alikiba (Tanzania), Octopizzo and band (Kenya), Ihhashi Elimhlophe (South Africa), Tcheka (Cape Verde), Sarabi (Kenya), The...
10 years ago
Dewji Blog15 Feb
Sauti za Busara 2015 kufikia tamati leo
Wasanii kutunukiwa tuzo za amani
Na Andrew Chale, modewji blog, Zanzibar
Tamasha kubwa la Kimataifa la muziki linalofanyika kila mwaka visiwani hapa la Sauti za Busara, linatarajiwa kufikia tamati usiku wa leo Februari 15 huku zikitarajiwa kutolewa tuzo za amani kwa washindi.
Tamasha hilo kwa mwaka huu ni la 12, limezidi kuwa la mafanikio kwa kuweza kukusanya umati mkubwa wa mashabiki waliotoka sehemu mbalimbali duniani.
Tamasha hillo lilianza Ahamisi ya Februari 12, kwa shamra shamra...
10 years ago
Dewji Blog14 Feb
Coastal Aviation mpango mzima na Sauti za Busara 2015
Na Andrew Chale
“ALL THE ALL FOR THE SOUNDS OF WISDOM!”
Coastal Aviation We have arranged MORE THAN 20 FLIGHTS A DAY throughout the weekend to support the festival and allow everybody to enjoy this intense celebration of African music!
How does it sound? Full mzuka na Sauti za Busara 2015!!.
More details on http://www.coastal.co.tz/media/press/
http://www.coastal.co.tz/media/videos/
http://www.coastal.co.tz/flights/scheduled-flights/
Mwandishi wa modewji blog, Andrew Chale akiwa tayari...
10 years ago
Dewji Blog12 Feb
Picha za ufunguzi wa Sauti za Busara 2015 ulivyofana Ngome Kongwe leo
Na Andrew Chale wa modewjiblog, Zanzibar
Ufunguzi wa Tamasha la Kimataifa la Muziki la Sauti za Busara 2015, umetia fora baada ya kukusanya umati wa watu wengi waliojumuika pamoja kwenye mitaa mbalimbali ya Unguja na kuungana na paredi.
Tamasha la Sauti za Busara kila mwaka katika ufunguzi wake huambatana na paredi huku umati wa watu wakijumuika pamoja na kusherehekea kwa amani na kuandamana mpaka Ngome Kongwe. paredi ya leo ilianzia Magereza Miembeni hadi Ngome Kongwe. Zifuatazo ni baadhi...
10 years ago
Dewji Blog13 Feb
Ali Kiba adhihirisha ubora wake ndani ya tamasha la Sauti za Busara 2015
Ali Kiba jukwaani Sauti za Busara 2015.
Na Andrew Chale wa modewjiblog, Zanzibar
Msanii nyota Nchini, Ali Kiba usiku wa Februari 12, ameweza kukonga nyoyo za mashabiki waliofurika kwenye tamasha kubwa la muziki la Kimataifa linaloaendelea kwenye viunga vya Ngome Kongwe, Unguja Zanzibar.
Katika shoo hiyo Ali Kiba alipanda jukwaani majira ya saa sita usiku na kuendelea kwa zaidi ya masaa mawili, alikonga nyoyo umati wa mashabiki waliofurika ndani ya ukumbi huo huku akishangiliwa wakati...