Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


China haitawanyonga Watanzania - Katibu

>Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa imesema watu 15 waliokamatwa na dawa za kulevya nchini China, hawatanyongwa na badala yake watafungwa maisha nchini humo kutokana na mawasiliano mazuri ya kidiplomasia baina ya Tanzania na China.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Watanzania kunyongwa China

Watanzania zaidi ya 50 waliokamatwa wakijihusisha na biashara ya dawa za kulevya wahukumiwa kifo China

 

11 years ago

Habarileo

Watanzania kujifunza ufundi China

MJUMBE wa Baraza la Ushauri wa Kisiasa la China (CPPCC), Dk Annie Wu amesema atatoa ufadhili wa nafasi za masomo kwa wanafunzi wa Tanzania kwenda kusoma elimu ya ufundi nchini China.

 

10 years ago

Vijimambo

BALOZI WA CHINA AMTEMBELEA KATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NJE.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Liberata Mulamula akimkaribisha Balozi wa China hapa nchini, Mhe.Lu Youquig alipomtembelea Wizarani kwa mazungumzo ya kudumisha ushirikiano wa nchi hizi mbili.Mkalimani wa Balozi wa China Bi.Wang Fang akisalimiana na Katibu Mkuu
Balozi wa China hapa nchini, Mhe.Lu Youqing akiwa katika mazungumzo na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Liberata Mulamula.Katibu Mkuu, Balozi Mulamula...

 

11 years ago

Mwananchi

Mabinti Watanzania wanavyotumikishwa madanguroni China (Pt. 2)

>Jana katika tovuti hii, kulikuwa na habari ambayo inamuhusu binti wa Kitanzania Munira Mathias (siyo jina lake halisi) ambaye alipelekwa China kwa ahadi ya kupewa kazi hotelini, lakini alipofika hadithi iligeuka na alianza kutumikishwa katika biashara ya ukahaba.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watanzania 35 kunyongwa China kwa mihadarati

VIJANA Watanzania 403 wamekamatwa katika nchi mbalimbali kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya katika kipindi cha mwaka 2008 hadi 2014, kati yao 35 wamehukumiwa kifo nchini China. Akizungumza...

 

11 years ago

Mwananchi

Mabinti Watanzania wanavyotumikishwa madanguroni China-2

>Jana katika tovuti hii, kulikuwa na habari ambayo inamuhusu binti wa Kitanzania Munira Mathias (siyo jina lake halisi) ambaye alipelekwa China kwa ahadi ya kupewa kazi hotelini, lakini alipofika hadithi iligeuka na alianza kutumikishwa katika biashara ya ukahaba.

 

10 years ago

Habarileo

Watanzania waingia, waishi China kinyemela

Balozi wa Tanzania nchini China, Abdulrahman Shimbo WATANZANIA wengi wametajwa kuingia na kuishi nchini China kinyemela na kusababisha wanapopata matatizo yanayohitaji msaada wa serikali kushindikana kupewa, kwa kuwa hawamo katika utaratibu wa Diaspora.

 

11 years ago

Habarileo

‘Si kweli Watanzania 160 wamenyongwa China’

WIZARA ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, imekanusha taarifa za uvumi zinaosambazwa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii na vyombo vya habari, kuwa wapo Watanzania wapatao 160 wamenyongwa China kwa kosa la kusafirisha dawa za kulevya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani