Watanzania 35 kunyongwa China kwa mihadarati
VIJANA Watanzania 403 wamekamatwa katika nchi mbalimbali kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya katika kipindi cha mwaka 2008 hadi 2014, kati yao 35 wamehukumiwa kifo nchini China. Akizungumza...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili25 Jun
Watanzania kunyongwa China
10 years ago
BBCSwahili15 Jan
Watanzania wanyongwa kwa mihadarati
10 years ago
Tanzania Daima19 Nov
Ukishangaa ya Wachina na mihadarati, utayaona ya Watanzania na ujangili!
BIASHARA ya madawa ya kulevya pamoja na ujangili ni miongoni mwa shughuli haramu Tanzania na hakika nchi rafiki na zisizo rafiki hulifahamu hilo bayana, japo wapo wazito jasiri wachache wameweka...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/IlN0UevPKmb-nwmhLbasuiDe2zGvGjwG6GUU0C3i235R-RCbDWhr0SyhH8HUteW1dep*BnV4C*-iF-lgrLMhut69raM*EBfL/mabinti.png?width=650)
WATANZANIA WANNE MBARONI KWA KUWATUMIKISHA MABINTI KINGONO NCHINI CHINA
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ZkdRfTF7MBs/VdHpTRt4ymI/AAAAAAAHx0s/lBD1k3hldKw/s72-c/PICHA%2BNO.2.jpg)
SIMBACHAWENE AKABIDHI NYARAKA ZA UFADHILI KWA WATANZANIA 22 KUSOMA MAFUTA, GESI CHINA
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZkdRfTF7MBs/VdHpTRt4ymI/AAAAAAAHx0s/lBD1k3hldKw/s640/PICHA%2BNO.2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-H64AoDgmkMA/VdHpThrhvOI/AAAAAAAHx00/rbs7TmTOAUU/s640/PICHA%2BNO.1.jpg)
Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene, (Kulia) akizungumza na waandishi wa habari, baadhi ya Watumishi wa Wizara na wanafunzi waliopata ufadhili wa masomo katika ngazi za Shahada za Uzamivu (Phd) na Uzamili (Masters), katika masuala ya mafuta na gesi nchini China.
![](http://2.bp.blogspot.com/-yIWBVHymBmw/VdHpTpWEJvI/AAAAAAAHx0w/Px2ya11Zlfw/s640/PICHA%2BNO.3.jpg)
10 years ago
Jamtz.Com![](http://3.bp.blogspot.com/-M-euskEyWVY/VCFUGEJWyyI/AAAAAAAABKc/zc0l9NwJA40/s72-c/j3.jpg)
AKIWA KIFUNGONI NCHINI CHINA, JACKY PATRICK ATUMA UJUMBE KWA WATANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-M-euskEyWVY/VCFUGEJWyyI/AAAAAAAABKc/zc0l9NwJA40/s1600/j3.jpg)
MWANAMITINDO wa Bongo aliyepo nyuma ya nondo huko Macau, Hong Kong nchini China akitumikia kifungo cha miaka sita baada ya kukutwa na hatia ya kubeba madawa ya kulevya ‘unga’, Jacqueline Fitzpatrick Cliff ‘Jack Patrick’ ametuma ujumbe mzito kwa mashabiki wake.
Akizungumza na mwandishi wa gazeti hili, rafiki wa karibu wa Jack ambaye hakupenda jina lichorwe gazetini, alisema kwamba mwanamitindo huyo amekuwa akimuandikia barua mara kwa mara lakini safari hii ametaka ujumbe wake uwafikie...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-ZkdRfTF7MBs/VdHpTRt4ymI/AAAAAAAHx0s/lBD1k3hldKw/s72-c/PICHA%2BNO.2.jpg)
SIMBACHAWENE AKABIDHI NYARAKA ZA UFADHILI KWA WATANZANIA 22 KUSOMA MAFUTA, GESI NCHINI CHINA
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZkdRfTF7MBs/VdHpTRt4ymI/AAAAAAAHx0s/lBD1k3hldKw/s640/PICHA%2BNO.2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-H64AoDgmkMA/VdHpThrhvOI/AAAAAAAHx00/rbs7TmTOAUU/s640/PICHA%2BNO.1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-yIWBVHymBmw/VdHpTpWEJvI/AAAAAAAHx0w/Px2ya11Zlfw/s640/PICHA%2BNO.3.jpg)
11 years ago
Habarileo25 Dec
Wanne mbaroni kwa mihadarati
POLISI jijini Arusha imewakamata vijana wanne katika eneo la Elikyurei wilayani Arumeru wakiwa na dawa za kulevya aina ya heroin zenye uzito wa gramu 100 zenye thamani ya Sh milioni 10.