Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ukishangaa ya Wachina na mihadarati, utayaona ya Watanzania na ujangili!

BIASHARA ya madawa ya kulevya pamoja na ujangili  ni miongoni mwa shughuli haramu Tanzania na hakika nchi rafiki na zisizo rafiki hulifahamu hilo bayana, japo wapo wazito jasiri wachache wameweka...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Ukishangaa ya Musa utayaona ya CCM

JANUARI 16 mwaka huu, Rais Jakaya Kikwete ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM Taifa, alitangaza mabadiliko aliyofanya katika Baraza la Mawaziri. Hii ni mara ya tano tangu aingie madarakani. Mara...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Ukishangaa ya BMK, utayaona ya Bunge la Jamhuri

USEMI wa ‘ukishangaa ya Musa, basi hujayaona ya Filauni’, umezoeleka sana, ndani yake unamaanisha yapo yaliyofanywa na Musa lakini pia yapo ya kuajabisha na kushangaza yaliyofanywa na Farao (Filauni). Katika...

 

9 years ago

Mwananchi

Wachina watupwa jela miaka 20 kwa ujangili

Mahakama ya Hakimu Mkazi mkoani Mbeya imewahukumu raia wanne wa China kwenda jela miaka 20 kila mmoja baada ya kukutwa na hatia ya makosa matatu ikiwemo kukutwa na nyara za serikali za thamani ya zaidi Sh900milioni.

 

10 years ago

Vijimambo

Interpol yawasaka Wachina 30 kwa ujangili wa tembo



Kamishna wa Interpol Tawi la Tanzania, Gustav Babile
Dar/Dodoma. Siku tano baada ya Serikali kukanusha vikali ripoti ya Shirika la Kimataifa la Mazingira (EIA) iliyoihusisha China na utoroshaji wa meno ya tembo nchini wakati wa ziara ya Rais wa nchi hiyo, Xi Jinping mwaka jana, Shirika la Polisi la Kimataifa (Intepol), Tawi la Tanzania limesema linawatafuta raia zaidi ya 30 wa China ambao wanatuhumiwa kusafirisha meno ya tembo na kufanya uharamia wa kimazingira katika hifadhi za Taifa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Watanzania wanyongwa kwa mihadarati

Kasisi mmoja amefuchua kuwa kuna idadi kubwa ya wafungwa wenye asili ya Afrika katika magereza ya Hong Kong wengi wao wakiwa ni kutoka Tanzania ambao wamenyongwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watanzania 35 kunyongwa China kwa mihadarati

VIJANA Watanzania 403 wamekamatwa katika nchi mbalimbali kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya katika kipindi cha mwaka 2008 hadi 2014, kati yao 35 wamehukumiwa kifo nchini China. Akizungumza...

 

11 years ago

Michuzi

ukishangaa ya mussa....

Awali mabunda haya yalivyokutwa katika jumba la Zungu la Unga  lililovamiwa na vikosi maalumu huko Mexico yalikadiriwa kuwa ni dola bilioni 18 za Kimarekani. Baada ya kuhesabiwa ikakutwa ni zaidi ya dola bilioni  22. Hii inadhihirisha jinsi biashara ya 'Sembe' ilivyo na changamoto kubwa kwani kwa kiasi hicho mwenyewe anaweza kununua chochote ama mtu yeyote na kufanya atakalo. Lakini pamoja na hayo vikosi vya kupiga vita biashara hii haramu vinaendelea na jitihada zao kupambana nao usiku na...

 

10 years ago

Michuzi

Vita ya ujangili yaungwa mkono,Kikosi cha kupambana na Ujangili chapata zana za kisasa

Kikosi cha kupambana na ujangili nchini kimepata vitendea kazi kutoka kwa wadau wa sekta ya utalii vitakavyowezesha kukabiliana na matukio ya ujangili yaliyoshika kasi nchini na kuhatarisha kutoweka baadhi ya wanyama.
Miongoni mwa misaada iliyotolewa ni magari matano aina ya Land Cruser yenye thamani ya Sh 750 milioni,bunduki za kivita 50 aina ya Ak 47 na risasi 10,000 na Magazini 20 ambazo thamani haikutajwa kwa kwasababu za kiusalama.
Waziri wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyalandu baada ya...

 

10 years ago

Bongo Movies

Mtazamo:Ukistaajabu ya Kajala na Wema, utayaona ya Wastara na Wolper

Kweli nimeamini samaki mmoja akioza wote huoza, hadi wewe wastara? Hukumbuki wolper alivyohangaika na marehemu mume wako? Dada wa watu akajitolea mamilion ili mume wako akatibiwe India? Umesahau wema wote hadi ukalia nachozi na kumuona wolper ni Mungu mtu?

Pesa tu ndio zinakutoa utu na kukufanya uumize moyo wa mwanamke mwenzio aliyejitolea wakati una shida ili aokoe maisha ya mume wako kipenzi japokuwa haikuwezekana (Mungu ailaze roho ya marehemu peponi ), inasikitisha na kuumiza sana, kuna...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani