Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ukishangaa ya Musa utayaona ya CCM

JANUARI 16 mwaka huu, Rais Jakaya Kikwete ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM Taifa, alitangaza mabadiliko aliyofanya katika Baraza la Mawaziri. Hii ni mara ya tano tangu aingie madarakani. Mara...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Ukishangaa ya BMK, utayaona ya Bunge la Jamhuri

USEMI wa ‘ukishangaa ya Musa, basi hujayaona ya Filauni’, umezoeleka sana, ndani yake unamaanisha yapo yaliyofanywa na Musa lakini pia yapo ya kuajabisha na kushangaza yaliyofanywa na Farao (Filauni). Katika...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Ukishangaa ya Wachina na mihadarati, utayaona ya Watanzania na ujangili!

BIASHARA ya madawa ya kulevya pamoja na ujangili  ni miongoni mwa shughuli haramu Tanzania na hakika nchi rafiki na zisizo rafiki hulifahamu hilo bayana, japo wapo wazito jasiri wachache wameweka...

 

11 years ago

Michuzi

KAMISHNA WA POLISI JAMII NCHINI ,CP MUSA ALI MUSA AFANYA ZIARA WILAYA YA SAME

Kmishana wa Polisi Jamii nchini Musa Ali Musa akikaribishwa wilaya ya Same amabko ametembelea na kufanya ukaguzi kujionea hali ikoje ya namna asakari wanaposhirikiana na jamii pamoja na dawati la jinsia. Kamishna Musa akikaribishwa kufanya ukaguzi katika Gwaride lililoandaliwa na sakari Polisi wilaya ya Same. Gwaride maalumu lililoandaliwa kwa ajili ya Kimishana wa Polisi Jamii nchini Musa Ali Musa. Kamishna wa Polisi Jamii,Musa Ali Musa akifanya ukaguzi. Kamishna wa Polisi...

 

11 years ago

Michuzi

KAMISHNA WA POLISI JAMII NCHINI,MUSA ALI MUSA AFANYA ZIARA WILAYA YA MWANGA

Kamishna wa Polisi Jamii,Musa Ali Musa akiwa ameambatana na kamanda wa Polisi mkoa wa Kilimanjaro SACP ,Robert Boaz wakitembelea maeneo mbalimbali ikiwa ni pamoja na kukagua ujenzi wa kituo kipya cha polisi.Kamanada wa Polisi mkoa wa Kilimanjaro ,SACP Robert Boaz akizungumza na maofisa wa Polisi wa kada mbalimbali katika wilaya ya Mwanga (hawako pichani)kabla ya kumkaribisha kamishna wa Polisi jamii nchini ,CP ,Musa Ali Musa.Kamishna wa Polisi jamii Nchini,Musa Ali Musa akizungumza na...

 

9 years ago

CCM Blog

TAWI LA CCM EMPRESS KWA MUSA MTAA WA SAMORA WASHEREHEKEA USHINDI WA DK. JOHN POMBE MAGUFULI.


1
MBUNGE mteule wa Muleba Kaskazini (CCM) na Naibu Waziri wa Nishati na Madini Charles Mwijage akisalimiana na Godson Kaligo Mjumbe wa tawi la CCM Epress Social lililopo mtaa wa Samora maarufu kwa Musa Shoeshine alipowatembelea wakati wa sherehe yao ya kusherehekea ushindi wa Rais Mteule Dr. John Pombe Magufuli mara baada ya kushinda katika uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 25 mwaka huu nchini kote, Wana CCM hao wamesherehekea kwa muziki na kupata supu ya mbuzi na nyama choma huku...

 

9 years ago

Michuzi

TAWI LA CCM EMPRESS KWA FUNDI MUSA MTAA WA SAMORA WASHEREHEKEA USHINDI WA DK. JOHN POMBE MAGUFULI

1
MBUNGE mteule wa Muleba Kaskazini (CCM) na Naibu Waziri wa Nishati na Madini Charles Mwijage akisalimiana na Godson Kaligo Mjumbe wa tawi la CCM Epress Social lililopo mtaa wa Samora maarufu kwa Musa Shoeshine alipowatembelea wakati wa sherehe yao ya kusherehekea ushindi wa Rais Mteule Dr. John Pombe Magufuli mara baada ya kushinda katika uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 25 mwaka huu nchini kote, Wana CCM hao wamesherehekea kwa muziki na kupata supu ya mbuzi na nyama choma huku...

 

11 years ago

Michuzi

ukishangaa ya mussa....

Awali mabunda haya yalivyokutwa katika jumba la Zungu la Unga  lililovamiwa na vikosi maalumu huko Mexico yalikadiriwa kuwa ni dola bilioni 18 za Kimarekani. Baada ya kuhesabiwa ikakutwa ni zaidi ya dola bilioni  22. Hii inadhihirisha jinsi biashara ya 'Sembe' ilivyo na changamoto kubwa kwani kwa kiasi hicho mwenyewe anaweza kununua chochote ama mtu yeyote na kufanya atakalo. Lakini pamoja na hayo vikosi vya kupiga vita biashara hii haramu vinaendelea na jitihada zao kupambana nao usiku na...

 

10 years ago

Bongo Movies

Mtazamo:Ukistaajabu ya Kajala na Wema, utayaona ya Wastara na Wolper

Kweli nimeamini samaki mmoja akioza wote huoza, hadi wewe wastara? Hukumbuki wolper alivyohangaika na marehemu mume wako? Dada wa watu akajitolea mamilion ili mume wako akatibiwe India? Umesahau wema wote hadi ukalia nachozi na kumuona wolper ni Mungu mtu?

Pesa tu ndio zinakutoa utu na kukufanya uumize moyo wa mwanamke mwenzio aliyejitolea wakati una shida ili aokoe maisha ya mume wako kipenzi japokuwa haikuwezekana (Mungu ailaze roho ya marehemu peponi ), inasikitisha na kuumiza sana, kuna...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani