UKISTAAJABU YA MUSSA,UTAYAONA YA FIRAUNI: HUU NI MWENDO WA KWENDA KWENYE MAZISHI
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies23 Mar
Mtazamo:Ukistaajabu ya Kajala na Wema, utayaona ya Wastara na Wolper
Kweli nimeamini samaki mmoja akioza wote huoza, hadi wewe wastara? Hukumbuki wolper alivyohangaika na marehemu mume wako? Dada wa watu akajitolea mamilion ili mume wako akatibiwe India? Umesahau wema wote hadi ukalia nachozi na kumuona wolper ni Mungu mtu?
Pesa tu ndio zinakutoa utu na kukufanya uumize moyo wa mwanamke mwenzio aliyejitolea wakati una shida ili aokoe maisha ya mume wako kipenzi japokuwa haikuwezekana (Mungu ailaze roho ya marehemu peponi ), inasikitisha na kuumiza sana, kuna...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-5Duhvag7-MY/U1kk6RJjjDI/AAAAAAAAFW8/XPSNJJiNRTY/s72-c/IMG_1226.jpg)
mazishi ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Kalambo Mkoani Rukwa Hayati Moshi Mussa Chang'a
![](http://2.bp.blogspot.com/-5Duhvag7-MY/U1kk6RJjjDI/AAAAAAAAFW8/XPSNJJiNRTY/s1600/IMG_1226.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-bemeXA6ACDM/U1kmR0Hqi0I/AAAAAAAAFXI/5SbejmvfXo8/s1600/IMG_1118.jpg)
11 years ago
Bongo Movies15 Jul
Huu ni ujumbe wa Kajala kwenda kwa mtoto wake leo kwenye siku ya kuzaliwa kwa binti yake huyo.
Miaka 12 iliyopita sikuwahi kujua kama itafikia siku nitajisikia hiki ninachofeel siku ya leo.. nimepitia mambo mengi sana na wewe.. nimepata shida nyingi mno lakini sikukuacha wala kukutupa.. kwenye jua ama mvua, iwe usiku ama mchana katika mitihani yote niliyopitia nilikuwa na wewe tu mwanangu.. ulikuwa kama pochi yangu.. bila kujua kesho utakuwa NANI!! nilikupenda tangu siku ya kwanza nakuona.. nilikuthamini na kuahidi nafsi yangu kuwa nitakufa na wewe katika hali yoyote ile bila kujua...
10 years ago
Bongo Movies22 Jan
Ray — “Mwaka huu filamu za nje tu, ni mwendo wa Ghana na Nigeria”
Msanii mkongwe wa filamu nchini, Vicent Kigosi a.k.a Ray amejipanga kufanya filamu nyingi za kimataifa mwaka huu, huku akiweka bayana ataanza na Ghana pamoja na Nigeria.
Kwa mujibu wa tovuti Bongo5 , Ray amesema ndani ya mwaka huu ataweka pembeni kazi za ndani na kujikita kimataifa zaidi.
“Nimepanga kufanya mambo mengi mwaka huu, lakini mwaka huu movie zangu zote nitafanya International sitafanya movie yoyote ya hapa hapa kwa sababu kama hapa nishafanya sana, kwahiyo movie zangu zote...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-z02UqvKGAN8/XkvoKo3A6_I/AAAAAAALd7g/fU55SWm9AuEN8ISIsYzA5R3hin_ALyeFACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Kamishna Dkt Mussa Ali Mussa afungua kikao cha kujadili uhalifu unaovuka mipaka
![](https://1.bp.blogspot.com/-z02UqvKGAN8/XkvoKo3A6_I/AAAAAAALd7g/fU55SWm9AuEN8ISIsYzA5R3hin_ALyeFACLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
9 years ago
Global Publishers17 Dec
Mwili wa Dotto Mzava wa JF wasafirishwa kwenda Same kwa mazishi
Jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Mwandishi wa Habari wa Jamii Forum, Dotto Mzava likishushwa kwenye gari maalum mara baada ya kuwasili katika Kanisa la Wasabato Manzese Uzuri jijini Dar kwa ajili ya sala ya kabla ya kusafirishwa kuelekea Wilaya ya Same Mkoani Kilimanjaro leo.
Mchungaji wa Kanisa la Adventist Wasabato akiendelea na ibada wakati wa ibada ya kumuombea marehemu kabla ya kusafirishwa kuelekea Same, Kilimanjaro.
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Jamii Media, Maxence Mello...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-bIrLTewUvh8/VZGk0JjdncI/AAAAAAAAgOQ/qOoh6K0w3rc/s72-c/15.jpg)
KINANA ASAFIRI KWA MASAA 14 KWENYE ZIWA VICTORIA KWENDA KISIWANI IRUGWA NA KUTUMIA MASAA MANNE MENGINE KWENDA KISIWA CHA UKARA KISI
![](http://3.bp.blogspot.com/-bIrLTewUvh8/VZGk0JjdncI/AAAAAAAAgOQ/qOoh6K0w3rc/s640/15.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-3vh5FDNvX-c/VZGlBQk-mxI/AAAAAAAAgOY/LvibhBUdXII/s640/19.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Fd_pvC7t8gM/VZGlCkiphgI/AAAAAAAAgOg/OuRmkGeHhds/s640/32.jpg)
11 years ago
GPL![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2013/12/15/article-2523695-1A1E091500000578-382_472x674.jpg)
RATIBA MAZISHI YA MANDELA MCHANA HUU.
11 years ago
Mwananchi09 Dec
Utaratibu wa mazishi ya Mandela huu hapa