Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KAMISHNA WA POLISI JAMII NCHINI ,CP MUSA ALI MUSA AFANYA ZIARA WILAYA YA SAME

Kmishana wa Polisi Jamii nchini Musa Ali Musa akikaribishwa wilaya ya Same amabko ametembelea na kufanya ukaguzi kujionea hali ikoje ya namna asakari wanaposhirikiana na jamii pamoja na dawati la jinsia. Kamishna Musa akikaribishwa kufanya ukaguzi katika Gwaride lililoandaliwa na sakari Polisi wilaya ya Same. Gwaride maalumu lililoandaliwa kwa ajili ya Kimishana wa Polisi Jamii nchini Musa Ali Musa. Kamishna wa Polisi Jamii,Musa Ali Musa akifanya ukaguzi. Kamishna wa Polisi...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

KAMISHNA WA POLISI JAMII NCHINI,MUSA ALI MUSA AFANYA ZIARA WILAYA YA MWANGA

Kamishna wa Polisi Jamii,Musa Ali Musa akiwa ameambatana na kamanda wa Polisi mkoa wa Kilimanjaro SACP ,Robert Boaz wakitembelea maeneo mbalimbali ikiwa ni pamoja na kukagua ujenzi wa kituo kipya cha polisi.Kamanada wa Polisi mkoa wa Kilimanjaro ,SACP Robert Boaz akizungumza na maofisa wa Polisi wa kada mbalimbali katika wilaya ya Mwanga (hawako pichani)kabla ya kumkaribisha kamishna wa Polisi jamii nchini ,CP ,Musa Ali Musa.Kamishna wa Polisi jamii Nchini,Musa Ali Musa akizungumza na...

 

11 years ago

GPL

TASWIRA ZA VURUGU KATI YA POLISI NA VIJANA WALIOKUTWA MSIKITI WA MUSA , MOMBASA

Baadhi ya vijana waliokamatwa katika vurugu hizo wakiwa chini ya ulinzi.…

 

11 years ago

Michuzi

WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI WA ZANZIBAR MHE. ALI JUMA SHAMHUNA AFANYA ZIARA YA KIKAZI NCHINI OMAN

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali wa serikali ya Zanzibar Mheshimiwa Ali Juma Shamhuna, alifanya ziara ya Kikazi nchini Oman kuanzia tarehe 16 hadi 20 February 2014 kwa Mwaliko wa mwenyeji wake Mheshimiwa Dr. Rawiyah Al Busaidi, Waziri wa Elimu ya Juu wa Oman.
Ziara hii ilikuwa na madhumuni makuu ya kuimarisha uhusiano wa kindungu uliopo baina ya Oman na Tanzania kupitia sekta ya Elimu na kuimarisha uhusiano wa karibu na ushirikiano baina ya taasisi za elimu kati ya Tanzania na...

 

10 years ago

BBCSwahili

ukistaajabu ya Musa?

mimba na ndoa za utotoni ni tatizo Ivory Coast .

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ukishangaa ya Musa utayaona ya CCM

JANUARI 16 mwaka huu, Rais Jakaya Kikwete ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM Taifa, alitangaza mabadiliko aliyofanya katika Baraza la Mawaziri. Hii ni mara ya tano tangu aingie madarakani. Mara...

 

11 years ago

BBC

Musa revels in Nigerian goals record

Ahmed Musa is delighted to have become the first Nigerian to score more than once in a World Cup match.

 

9 years ago

GPL

MUSA BANZI AWATAMBULISHA WAKE ZAKE UKUMBINI

Msanii anayeongoza kwa kutengeneza sinema za Kibongo za kutisha, Musa Banzi akiwa na mmoja wa wake zake. Imelda Mtema Duh! Msanii anayeongoza kwa kutengeneza sinema za Kibongo za kutisha, Musa Banzi amewatambulisha wake zake wawili ukumbini kwenye sherehe ya kuwakutanisha wasanii wote wa zamani ili kupanga mikakati mipya. Tukio hilo lililoshuhudiwa na gazeti hili lilijiri wikiendi iliyopita kwenye Ukumbi wa Mamba Pub uliopo...

 

9 years ago

Bongo5

FIFA yawaondoa Musa Bility na Michel Platini katika kinyang’anyiro cha Urais

platini-1

Kamati ya uchaguzi ya shirikisho la soka duniani FIFA, imeondoa majina mawili katika kinyang’anyiro cha Urais.

bility-11

Mmoja wa waliondolewa ni Musa Bility ambaye ni Rais wa chama cha soka cha nchini Liberia. Kamati hiyo imemuondoa Bility kwa sababu za uadilifu baada ya kumchunguza na kujiridhisha kuwa hana sifa ya kubaki kuwa mgombea wa Urais katika uchaguzi mkuu utakaofanyika February 26 mwaka huu.

Mwingine aliyeondolewa katika kinyang’anyiro hicho ni Rais wa UEFA Michel Platini.

platini-1

Platini...

 

10 years ago

Michuzi

JK AMUAPISHA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI PROFESA MUSA JUMA ASSAD LEO

 Rais Jakaya Mrisho kikwete katika picha ya pamoja na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Profesa Musa Juma Assad na wafanyakazi wa ofisi ya CAG  Ikulu jijini Dar es salaam leo Rais Jakaya Mrisho kikwete akiwa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa  Hesabu za Serikali (CAG) Profesa Musa Juma Assad na CAG Mstaafu Bw. Ludovick Utouh Ikulu jijini Dar es salaam leo.Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani