WATANZANIA WANNE MBARONI KWA KUWATUMIKISHA MABINTI KINGONO NCHINI CHINA
![](http://api.ning.com:80/files/IlN0UevPKmb-nwmhLbasuiDe2zGvGjwG6GUU0C3i235R-RCbDWhr0SyhH8HUteW1dep*BnV4C*-iF-lgrLMhut69raM*EBfL/mabinti.png?width=650)
Baadhi ya mabinti wanaotumikishwa katika biashara hiyo ya ngono. WATANZANIA wanne wametiwa nguvuni jijini Macau nchini China kwa kuwatumikisha mabinti katika biashara haramu ya ngono. Chanzo:…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi09 Jul
Mabinti Watanzania wanavyotumikishwa madanguroni China-2
11 years ago
Mwananchi10 Jul
Mabinti Watanzania wanavyotumikishwa madanguroni China (Pt. 2)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-eRJdsIXWmEI/VMjXgVR43RI/AAAAAAAG_5o/WVZpjKgNqO4/s72-c/image061.jpg)
RAIA WANNE (4) WA ETHIOPIA MBARONI KWA KUINGIA NCHINI BILA KIBALI
![](http://1.bp.blogspot.com/-eRJdsIXWmEI/VMjXgVR43RI/AAAAAAAG_5o/WVZpjKgNqO4/s1600/image061.jpg)
Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma linawashikila watu wanne (4) raia wa Ethiopia kwa tuhuma za kuingia nchini bila kuwa na kibali
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – SACP amesema watu hao wamekamatwa tarehe 26/01/2015 majira ya 15:55hrs katika eneo la Nala kwenye Mzani wa Magari (Weight Bridge) Kata ya Nala Tarafa ya Zuzu Manispaa ya Dodoma wakiwa kwenye basi la Prince Munaa lenye namba za usajili T....
11 years ago
Michuzi07 Apr
watanzania wanne wakamatwa na polisi huko macau, china, wakijihusisha na biashara ya ngono
10 years ago
Jamtz.Com![](http://3.bp.blogspot.com/-M-euskEyWVY/VCFUGEJWyyI/AAAAAAAABKc/zc0l9NwJA40/s72-c/j3.jpg)
AKIWA KIFUNGONI NCHINI CHINA, JACKY PATRICK ATUMA UJUMBE KWA WATANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-M-euskEyWVY/VCFUGEJWyyI/AAAAAAAABKc/zc0l9NwJA40/s1600/j3.jpg)
MWANAMITINDO wa Bongo aliyepo nyuma ya nondo huko Macau, Hong Kong nchini China akitumikia kifungo cha miaka sita baada ya kukutwa na hatia ya kubeba madawa ya kulevya ‘unga’, Jacqueline Fitzpatrick Cliff ‘Jack Patrick’ ametuma ujumbe mzito kwa mashabiki wake.
Akizungumza na mwandishi wa gazeti hili, rafiki wa karibu wa Jack ambaye hakupenda jina lichorwe gazetini, alisema kwamba mwanamitindo huyo amekuwa akimuandikia barua mara kwa mara lakini safari hii ametaka ujumbe wake uwafikie...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-ZkdRfTF7MBs/VdHpTRt4ymI/AAAAAAAHx0s/lBD1k3hldKw/s72-c/PICHA%2BNO.2.jpg)
SIMBACHAWENE AKABIDHI NYARAKA ZA UFADHILI KWA WATANZANIA 22 KUSOMA MAFUTA, GESI NCHINI CHINA
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZkdRfTF7MBs/VdHpTRt4ymI/AAAAAAAHx0s/lBD1k3hldKw/s640/PICHA%2BNO.2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-H64AoDgmkMA/VdHpThrhvOI/AAAAAAAHx00/rbs7TmTOAUU/s640/PICHA%2BNO.1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-yIWBVHymBmw/VdHpTpWEJvI/AAAAAAAHx0w/Px2ya11Zlfw/s640/PICHA%2BNO.3.jpg)
9 years ago
Habarileo17 Aug
Wanariadha wanne waenda nchini China bila daktari
WANARIADHA wanne na kiongozi mmoja wa riadha wanaondoka nchini leo kwenda Beijing, China kushiriki mashindano ya dunia yatakayoanza Alhamisi.
11 years ago
Habarileo25 Dec
Wanne mbaroni kwa mihadarati
POLISI jijini Arusha imewakamata vijana wanne katika eneo la Elikyurei wilayani Arumeru wakiwa na dawa za kulevya aina ya heroin zenye uzito wa gramu 100 zenye thamani ya Sh milioni 10.
11 years ago
Tanzania Daima21 Mar
Wanne mbaroni kwa kuichagua CHADEMA
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kwa kushirikiana na uongozi wa Kijiji cha Nyamihundu Kata ya Nzihi kimewakamata vijana wanne kwa tuhuma za kukipigia kura Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Hayo...