AKIWA KIFUNGONI NCHINI CHINA, JACKY PATRICK ATUMA UJUMBE KWA WATANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-M-euskEyWVY/VCFUGEJWyyI/AAAAAAAABKc/zc0l9NwJA40/s72-c/j3.jpg)
Tweet
MWANAMITINDO wa Bongo aliyepo nyuma ya nondo huko Macau, Hong Kong nchini China akitumikia kifungo cha miaka sita baada ya kukutwa na hatia ya kubeba madawa ya kulevya ‘unga’, Jacqueline Fitzpatrick Cliff ‘Jack Patrick’ ametuma ujumbe mzito kwa mashabiki wake.
Akizungumza na mwandishi wa gazeti hili, rafiki wa karibu wa Jack ambaye hakupenda jina lichorwe gazetini, alisema kwamba mwanamitindo huyo amekuwa akimuandikia barua mara kwa mara lakini safari hii ametaka ujumbe wake uwafikie...
Jamtz.com
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziUJUMBE WA TPDF WATEMBELEA OFISINI KWA BALOZI PATRICK TSERE NCHINI MALAWI
11 years ago
GPL20 Feb
9 years ago
Vijimambo![](http://lh3.googleusercontent.com/-An7aXlTJE-k/VekpNA2ihUI/AAAAAAAA0fw/PScLcT7b46s/s72-c/IMG_20150903_230049.jpg)
UTATA : MWANAUME ALIYEMVALISHA PETE JACKY WOLPER ,PICHA YAVUJA AKIWA NA MKE WA NDOA
![](http://lh3.googleusercontent.com/-An7aXlTJE-k/VekpNA2ihUI/AAAAAAAA0fw/PScLcT7b46s/s640/IMG_20150903_230049.jpg)
Kitu ambacho wengi hatujaelewa na wengine wakisema labda ile ya Jack akivishwa pete ni. Movie mpya..Picha hii hapa chini!
![](http://lh3.googleusercontent.com/-4Ymt6iZZRWY/VekqD2fCK6I/AAAAAAAA0f4/wX6YmALBlUE/s640/IMG_20150904_081849.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/IlN0UevPKmb-nwmhLbasuiDe2zGvGjwG6GUU0C3i235R-RCbDWhr0SyhH8HUteW1dep*BnV4C*-iF-lgrLMhut69raM*EBfL/mabinti.png?width=650)
WATANZANIA WANNE MBARONI KWA KUWATUMIKISHA MABINTI KINGONO NCHINI CHINA
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-ZkdRfTF7MBs/VdHpTRt4ymI/AAAAAAAHx0s/lBD1k3hldKw/s72-c/PICHA%2BNO.2.jpg)
SIMBACHAWENE AKABIDHI NYARAKA ZA UFADHILI KWA WATANZANIA 22 KUSOMA MAFUTA, GESI NCHINI CHINA
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZkdRfTF7MBs/VdHpTRt4ymI/AAAAAAAHx0s/lBD1k3hldKw/s640/PICHA%2BNO.2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-H64AoDgmkMA/VdHpThrhvOI/AAAAAAAHx00/rbs7TmTOAUU/s640/PICHA%2BNO.1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-yIWBVHymBmw/VdHpTpWEJvI/AAAAAAAHx0w/Px2ya11Zlfw/s640/PICHA%2BNO.3.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VbvHliDwf9Y/XvCLcoqzc7I/AAAAAAALu6c/lldVMfArMtQUMaBhkjrr1kLtpuN8B0ZtACLcBGAsYHQ/s72-c/18.jpg)
RAIS MAGUFULI ATUMA UJUMBE MZITO KWA VIONGOZI WA SERIKALI WANAOTAKA KUGOMBEA UBUNGE WAKIDHANI WATAKUWA MAWAZIRI
Na Said Mwishehe, Michuzi TV
RAIS Dk.John Magufuli amepeleka salamu kwa baadhi ya viongozi wa kada mbalimbali wanaodhani wakiachana nafasi zao na kwenda kugombea ubunge wakishinda atawateuwa katika Baraza la Mawaziri wajue wanajidanganya.
Ameyasema hayo leo Juni 22,2020 Ikulu jijini Dar es Salaam baada ya kumuapisha Mkuu wa Mkoa wa Arusha Idd Kimanta , Mkuu wa Wilaya ya Arusha Kenan Kihongosi, Mkuu wa Wilaya ya Monduli Edward Balele ,Mkuu wa Wilaya ya Morogoro Bakari Msulwa,Mkurugenzi wa Jiji...
10 years ago
Michuzi13 Nov
Balozi Seif Ali Iddi na Ujumbe wake waanza ziara ya siku 10 nchini China
![](https://4.bp.blogspot.com/-4j59t3pXkC4/VGSQxnGN_2I/AAAAAAAGw68/iU9GktJNF28/s640/292.jpg)
9 years ago
Dewji Blog05 Jan
Ujumbe wa Ubalozi wa China nchini wamtembelea Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi wakubaliana kuimarisha ushirikiano
Balozi wa Jamhuri ya Watu wa China nchini Tanzania, Lu Youqing , akisaini kitabu cha wageni mara baadaya kuwasili katika Ofisi ya Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga (kulia), ofisini kwake alipowasili Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kwa ziara fupi.
Balozi wa Jamhuri ya Watu wa China hapa nchini, Lu Youqin akizungumza katika kikao na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi. Mhe. Charles Kitwanga (wa pili upande wa kushoto). Katika kikao hicho kilichofanyika Wizara hapo, viongozi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kdMiOwfaxvd5Nxxk-j9B1sCpabAITCTtlToO*Of*AjXOhr6rEVrvU0cbo3bi6D4Vi1RMt6FiAxt873GtQqUCPHMASf19LBav/jackp.jpg)
JACK PATRICK ATWANGWA TALAKA AKIWA JELA