UJUMBE WA TPDF WATEMBELEA OFISINI KWA BALOZI PATRICK TSERE NCHINI MALAWI
Balozi Tanzania nchini Malawi,Mh. Patrick Tsere akiwa kwenye picha ya pamoja na ujumbe wa wanajeshi sita wakiongozwa na Brigedia Generali ERNEST GALINOMA ( mstaafu) wakiwa na Makombe yao waliyoshinda baada ya kushiriki mashindano ya mchezo wa gofu yaliofanyika mwishoni wa juma, mjini Lilongwe Malawi. Ujumbe huo ulikuwa umealikwa na uongozi wa jeshi la Malawi kucheza gofu ikiwa ni maadhimisho ya kuwakumbuka waafrika walioshiriki vita vya pili vya dunia na kutimiza miaka mia baada ya vita vya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboBALOZI WA MALAWI NCHINI TANZANIA AMTEMBELEA WAZIRI WA UCHUKUZI OFISINI KWAKE LEO MCHANA
10 years ago
MichuziBALOZI WA MALAWI NCHINI TANZANIA AMTEMBELEA WAZIRI WA UCHUKUZI OFISINI KWAKE LEO MCHANA
10 years ago
VijimamboUjumbe wa wanajeshi wamtembelea Balozi wa Tanzania nchini Malawi
9 years ago
Vijimambo31 Oct
Ujumbe wa maafisa kutoka Tanzania wamtembelea Mhe. Balozi Victoria Richard Mwakasege, Balozi wa Tanzania nchini Malawi
9 years ago
Michuzi31 Oct
Ujumbe wa maafisa kutoka Tanzania wamtembelea Mhe. Balozi Victoria Richard Mwakasege, nchini Malawi
Ujumbe huo wenye maafisa kutoka taasisi mbalimbali za Serikali ikiwemo Ofisi ya Rais –Utumishi, Ofisi ya Waziri Mkuu -Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Wizara ya Fedha, Clinton Health Access Initiative (CHAI), na Mpango wa Taifa wa Kuthibiti UKIMWI (National Aids...
10 years ago
Jamtz.Com![](http://3.bp.blogspot.com/-M-euskEyWVY/VCFUGEJWyyI/AAAAAAAABKc/zc0l9NwJA40/s72-c/j3.jpg)
AKIWA KIFUNGONI NCHINI CHINA, JACKY PATRICK ATUMA UJUMBE KWA WATANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-M-euskEyWVY/VCFUGEJWyyI/AAAAAAAABKc/zc0l9NwJA40/s1600/j3.jpg)
MWANAMITINDO wa Bongo aliyepo nyuma ya nondo huko Macau, Hong Kong nchini China akitumikia kifungo cha miaka sita baada ya kukutwa na hatia ya kubeba madawa ya kulevya ‘unga’, Jacqueline Fitzpatrick Cliff ‘Jack Patrick’ ametuma ujumbe mzito kwa mashabiki wake.
Akizungumza na mwandishi wa gazeti hili, rafiki wa karibu wa Jack ambaye hakupenda jina lichorwe gazetini, alisema kwamba mwanamitindo huyo amekuwa akimuandikia barua mara kwa mara lakini safari hii ametaka ujumbe wake uwafikie...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-Z0dP2mSg4U8/VUtWEbcL01I/AAAAAAAA8qs/c37BjBKgXvw/s72-c/446.jpg)
BALOZI SEIF AKUTANA NA BALOZI WA TANZANIA NCHINI JAPAN NA BALOZI MALAWI NCHINI TANZANIA, PIA AZUNGUMZA NA GAVANA MKUU WA JIMBO LA SIUSTAN NA BALACHESTAN
![](http://1.bp.blogspot.com/-Z0dP2mSg4U8/VUtWEbcL01I/AAAAAAAA8qs/c37BjBKgXvw/s640/446.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-kUUQfzL_m08/VUtWDwYmJSI/AAAAAAAA8qo/9wUVpgBYG3k/s640/456.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-xG9UXjRoONk/VUtWEr1lsjI/AAAAAAAA8q0/mS76wPhdk48/s640/458.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-LEE9EKoPKDY/VhbQ6txD2QI/AAAAAAACAqI/NkhwkJXcgNU/s72-c/DSC_7874.jpg)
Balozi mpya wa Denmark nchini na Balozi mteule wa Tanzania nchini Malawi wakutana na Dk Shein Ikulu
![](http://2.bp.blogspot.com/-LEE9EKoPKDY/VhbQ6txD2QI/AAAAAAACAqI/NkhwkJXcgNU/s640/DSC_7874.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ACTZLiTZy40/VhbQ8hx-lgI/AAAAAAACAqQ/N7aAN9vyw3Y/s640/DSC_7909.jpg)
10 years ago
VijimamboBalozi Mulamula akutana kwa mazungumzo na Ujumbe wa EU hapa nchini